mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
chama legelege huzaa serikali legelege yenye viongozi legelege...
Hamna mgomo wewe patachimbika wote watafungiwa wathubutu waoneeee
...juu ya wananchi legelege wenye maamuzi legelege na kuchukua hatua legelege...
kwa kashafa unayotoa natamani hata ungelala hapohapo na ubwege wako. sisi tunalia bei ya mafuta ipungue wewe unakejeli. Hivi wewe ni chizi?Nipo kariakoo big bon baada ya kuangaika kwenye folleni muda mrefu, baada ya kufika nimeambiwa nayo yameisha. Aliyekuwa mkombozi BIG Bon naye aungana na wafanyabiashara, naambiwa yapo lakini mkuu katukataza kweli serikali imefika kubaya.Magari mengi yamezima njiani, tunaomba trafiki wasaidie angalau tuyaweke pembeni.
Pumba.Unapokula krismasi na sikukuu ya mwaka mpya ni bora ukafanye kwa busara zaidi wenzangu; mwakani uchumi kuwa shagalabagala zaidi, mfumuko wa bei kujiunganisha na kupanda bei ya mafuta soko la kimataifa na pengine kufikia 25% hadi 30% huko kabla ya June 2012.
Masikini tutalia sana na kusaga meno; jama UFISADI ni unyama na unyama wake katika uchumi ndio kama hivi - ujambazi si kipindi kupiga hodi kwa ukali zaidi.
serikali ya kishkaji.......yani ya kiswahili zaidi.
kwa kashafa unayotoa natamani hata ungelala hapohapo na ubwege wako. sisi tunalia bei ya mafuta ipungue wewe unakejeli. Hivi wewe ni chizi?