Optimistic Soul
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 204
- 22
acha ungese wewe.shule mbili za secondary kila kata,
chuo kikuu kila mkoa,kila mtu ANA DIGRII,KINA MRAMBA,YONA MAHAKAMANI ROD ZA LAMI NCHI NZIMA UNATAKA shule zijengwe hom kwenu usome ww na bibi zako tu?au unataka zile power station pale ubung
o zipelekwe kijijini kwenu na ile mitambo ya maji pale kibaha na ruvu iwe ya anko wako?fanya kazi ww acha kulalamika.uta ded poor
Nikikukamata wewe!
haha sasa dogo c mwekezaji huko
kwenye petroleum?
Unadhani mdingi
atachukua hatua yeyote hamna kitu
ndo kwanza atakwea
pipa aende kurefresh
mind pahali mkimalizana anarudi
chezea nji hii weye?
chama legelege huzaa serikali legelege yenye viongozi legelege...
Kizazi hiki kimelaaniwa..Hakuna la maana linaloweza kufanyika chini ya usimamizi wa madubwana ya kizazi hiki iwe wa kutoka chama tawala wala huko kwingine..kwani si siri ubinafsi ndani ya vyama vyote na kasumba ya uchumia tumbo katika vyama vyote ni hatarishi kwa mustakabali wa nchi...ngoja wote tufe kije kizazi swaafiii kisicho kuwa na makengeza katika mambo ya msingi. Kama wabisha fuatilia yaliyomkuta Kafulila....wangwe...kolimba...james mapalala...hamad rashid just to mention a few!