Wadau kaka yangu alimaliza diploma of electronics and telecommunication engineering ana g.p.a ya 4.7 mwaka wa jana, je anaweza kuchaguliwa petroleum engineering apo UDSM akifanya application apo mwakani?? na je wana convert vipi g.p.a za diploma na grade za advance??? ahsanteni
Wadau kaka yangu alimaliza diploma of electronics and telecommunication engineering ana g.p.a ya 4.7 mwaka wa jana, je anaweza kuchaguliwa petroleum engineering apo UDSM akifanya application apo mwakani?? na je wana convert vipi g.p.a za diploma na grade za advance??? ahsanteni
sidhani mkuu ujue unapochukuwa diploma una specify field flan ambayo mara nying hata ukienda degree itabid ukapge hayo hayo maswala.,mfano mtu mwenye dip ya pharmacy awezi pga degree ya udaktari..!