Ni kweli kabisa, petroleum engineering is the best course in the planet. Kwa middle east unaweza vuta $300,000 kwa mwaka. Kwa USA unaweza vuta $300,000-500,000 kwa mwaka. Wajaribu kama wanauwezo wakasome masters uko kwenye nchi za mafuta USA, middle east etc wakimaliza wanapata kazi uko uko.MMMM watanzania tusiangalie tu ndani ya nchi yetu,hii degree mbona bado inalipa sana hasa hapo Far East,NZ na Australia bado ni special skills ambayo inaweza kukupa PR permits,mtoa hoja usiwatie watu hofu kama unapenda kuisomea soma tu na ajira panua wigo wako wa kuitafuta,try hata Angola,hapo west Africa etc etc.
Pole sana mkuu wangu wilinasiMkuu wengine tulisha andaa na passport kabisa kupata kazi ni nje ni ngum ile mbaya,
Maisha kama haupo tayari to take a risk,u will die trying passport unayo sasa nini kinakuzuia kusafiri?huhitaji pesa nyingi kuwa nazo ndipo upange safari,unachotakia ni kujiandaa kimwili na kisaikolojia na ukiinua mguu hakuna turning back,panda treni to Tunduma,vuka border ingia Zambia,endelea na treni hadi Kapiri Mposhi pale kuna trunk port kubwa sana,tumia elimu yako mshawishi mmoja wa madereva wa malori yanayosafiri kwenda Walvis Bay,nenda naye hadi huko ,bandari hii inakuua kwa kasi sana,lazima utafumania cha kufanya wakati unaangalia upepo wa kuzamia Angola,ukifika Angola uwezekano wa kuzamia Gabon ni mkubwa na kote huko ni nchi za gesi na mafuta,always sky its a limit acha woga wa kitanzania ingia porini kusaka maisha hasa kama umesoma na age ipo upande wako,Good luckMkuu wengine tulisha andaa na passport kabisa kupata kazi ni nje ni ngum ile mbaya,
Daaah unavyosimulia kama muvi vile. Sidhani kama ni rahisi hivyo.Maisha kama haupo tayari to take a risk,u will die trying passport unayo sasa nini kinakuzuia kusafiri?huhitaji pesa nyingi kuwa nazo ndipo upange safari,unachotakia ni kujiandaa kimwili na kisaikolojia na ukiinua mguu hakuna turning back,panda treni to Tunduma,vuka border ingia Zambia,endelea na treni hadi Kapiri Mposhi pale kuna trunk port kubwa sana,tumia elimu yako mshawishi mmoja wa madereva wa malori yanayosafiri kwenda Walvis Bay,nenda naye hadi huko ,bandari hii inakuua kwa kasi sana,lazima utafumania cha kufanya wakati unaangalia upepo wa kuzamia Angola,ukifika Angola uwezekano wa kuzamia Gabon ni mkubwa na kote huko ni nchi za gesi na mafuta,always sky its a limit acha woga wa kitanzania ingia porini kusaka maisha hasa kama umesoma na age ipo upande wako,Good luck
Mkuu hiyo sio movie ni reality katika maisha yetu ya watanzania,wapo wengi waliofanya hayo na wanaendelea kufanya hayo,wasafiri wa mwanzo kabisa hasa kutokea mitaa ya Gerezani na Ilala walikuwa wanakatiza Sudan huku vita kali ya Mr.Garang ikiendelea na watu walifika kwenye dream land zao!!!,angalia pale Durban,Cape Town wadogo zetu wengi tu bado wana take chance ya kuwa Stowaways,wapo wanaofanikiwa na wapo wanaoshindwa;tuachane na uoga ,na uoga huu ndio maaana chama dola kinatuburuza maana we cant stand or take risk.Daaah unavyosimulia kama muvi vile. Sidhani kama ni rahisi hivyo.
Ni kweli mkuu, tuwasaidie vijanaVijana shitukeni mapema hii kitu sio ya kusoma mimi najutia sana kupoteza muda kusomea hii kitu, saizii ndio najuta. Kuna watu kibao Wana masters. Lakini wanasugua benchi
Daaah unavyosimulia kama muvi vile. Sidhani kama ni rahisi hivyo.
Tutafutie basi hizo nafasiMkuu hiyo sio movie ni reality katika maisha yetu ya watanzania,wapo wengi waliofanya hayo na wanaendelea kufanya hayo,wasafiri wa mwanzo kabisa hasa kutokea mitaa ya Gerezani na Ilala walikuwa wanakatiza Sudan huku vita kali ya Mr.Garang ikiendelea na watu walifika kwenye dream land zao!!!,angalia pale Durban,Cape Town wadogo zetu wengi tu bado wana take chance ya kuwa Stowaways,wapo wanaofanikiwa na wapo wanaoshindwa;tuachane na uoga ,na uoga huu ndio maaana chama dola kinatuburuza maana we cant stand or take risk.
Pole sana,mie nilishawahi kushauri humu tuwe na career advisor kwenye shule za secondary watu wajue options zao hivyo kufanya informed choice,kumfundisha mtu kitu kisichomsaidia ni wizi...
Wewe uliepukaje mkuuPole man jiajiri tu petrol ilianzishwa kisiasa na kikwete na prof Muhongo. Ilibaki kidogo tu na mimi nikasome bsc petroleum chemistry nadhani hadi sasa hivi ningekuwa bench nimepauka
we jamaa inawezekana uliomba sana kusoma petroleum ukakosa kutokana na ufaulu wako,, unarudia rudia thread kutokana na chuki zako kwani petroleum ndo kozi pekee ambayo haina ajira, kwanza ukizingatia watu waliosoma petroleum ni wachache na wapo ambao wameajiliwa.Petroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma, watu wana PHD zao namba wanaisoma
Namba shufwa wanazisoma, namba witiri namba tasa
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma, wewe una kadegree kako, mchezo utauweza?
Wewe unaka bachelor kako mchezo utauweza?, achana na petroleum itakuunguza moyo wako
Mdogo wangu mdogo wangu usiiguse petroleum, hii kitu hii sii kitu hii
Waachie walio igusa waendelee kuisoma namba, usiiguse petroleum namba utaisoma
Watu wenye one za tatu namba wanaisoma, watu wenye one za nne namba wanaisoma
watu wenye one za tano mamba wanaisoma, wewe mwenye ka two hako utauweza mchezo,
Kusoma namba sio mchezo, kawaulize chekechea
Huu ni mwaka wa nane kwa watalaam wa petroleum, bado namba wanazisoma
Kama na wewe wapenda kuzisoma namba basi chagua petroleum,
Petroleum unaipenda na namba utaisoma,
Petroleum ni janga usichague petroleum,
Badirisha kozi haraka usisome petroleum
Ewe kijana wa petroleum uliyepo chuoni,
tunza vizuri bumu lako, bumu tamu jamani litakusaidia wakati wakuzisoma namba.
Kasoda utashushia na tumaji kidogo, huku unaendelea kuzisoma namba.
Kusoma namba ni kazi, ikimbie petroleum
Namalizia kwa kusema, petroleum itakuumiza achana na petroleum.
Naweka karamu chini achana na petroleum,
Usiiguse petroleum engineering, bila huruma itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum chemistry, bila huruma itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum geology, itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Oil and Gas Engineering, itakusomesha namba mtaani,
Ewe ndugu yangu wa petroleum, kama Mechanical engineering ipo nenda kaisome hiyo, hutojuta mtaani.
Usiende huko kwenye Oil and gas, mafuta hayo yatakuchoma yatakubabua huo mwili
Bora ukasome electrical engineering, ukapigwe na short ya umeme.
Bachelor of Biomedical Engineering ndio kimbilio kwa Wale vipanga wa PCM...Karibu MUHASIwe jamaa inawezekana uliomba sana kusoma petroleum ukakosa kutokana na ufaulu wako,, unarudia rudia thread kutokana na chuki zako kwani petroleum ndo kozi pekee ambayo haina ajira, kwanza ukizingatia watu waliosoma petroleum ni wachache na wapo ambao wameajiliwa.
zipo kozi tatu za petroleum, chemistry, geology na engineering je zote hazina ajira?
kule Total, lake oil, oryx TBS n.k wanafanya kazi kina nani? sio kwa sababu yule rafiki yako uliyefanya naye applicication akapata petroleum we ukakosa halafu Leo kakosa ajila basi ukasema petroleum ni kupoteza muda, walimu wangapi hawajaajiliwa ? civil wangapi wapo mtaani? geology wangapi wameamua kua walimu wa geograph? kila kozi ina mazuri na mapungufu yake... Kwahyo usitishe watu
Kuna mtu ana Masters ya petrolium, amepuyanga kitaa hadi basi, nusura yake ikawa shule iliyompa kibarua Cha kufundisha chemistry form I, mkonde E.Cjakuelewa mkuu
Inawezekana hisiwe rahisi lakini watz hatuna guts....tunapenda sana ubweteDaaah unavyosimulia kama muvi vile. Sidhani kama ni rahisi hivyo.
CCM oyeeeJamaa ameshuka kikatili kinyama, kuna mwanangu anaisoma namba...kwa sasa anafundisha nursery hesabu za kutoa na kujumlisha
Kusema neno oryx, total, puma, tbs, ni rahisi sana kasome hiyo petroleum Basi 2023 urudi kutuomba radhi kwenye hili jukwaa, unazani kupata kazi kwenye hizo kampuni ni simple simple tu, petroleum imeanza Udom mwaka 2010 nao UD wakaanza 2013, ni lini umeskia ajira za petroleum zimetangazwa zaidi ya zile 4 za TPDC na 3 za TBS,we jamaa inawezekana uliomba sana kusoma petroleum ukakosa kutokana na ufaulu wako,, unarudia rudia thread kutokana na chuki zako kwani petroleum ndo kozi pekee ambayo haina ajira, kwanza ukizingatia watu waliosoma petroleum ni wachache na wapo ambao wameajiliwa.
zipo kozi tatu za petroleum, chemistry, geology na engineering je zote hazina ajira?
kule Total, lake oil, oryx TBS n.k wanafanya kazi kina nani? sio kwa sababu yule rafiki yako uliyefanya naye applicication akapata petroleum we ukakosa halafu Leo kakosa ajila basi ukasema petroleum ni kupoteza muda, walimu wangapi hawajaajiliwa ? civil wangapi wapo mtaani? geology wangapi wameamua kua walimu wa geograph? kila kozi ina mazuri na mapungufu yake... Kwahyo usitishe watu
we jamaa inawezekana uliomba sana kusoma petroleum ukakosa kutokana na ufaulu wako,, unarudia rudia thread kutokana na chuki zako kwani petroleum ndo kozi pekee ambayo haina ajira, kwanza ukizingatia watu waliosoma petroleum ni wachache na wapo ambao wameajiliwa.
zipo kozi tatu za petroleum, chemistry, geology na engineering je zote hazina ajira?
kule Total, lake oil, oryx TBS n.k wanafanya kazi kina nani? sio kwa sababu yule rafiki yako uliyefanya naye applicication akapata petroleum we ukakosa halafu Leo kakosa ajila basi ukasema petroleum ni kupoteza muda, walimu wangapi hawajaajiliwa ? civil wangapi wapo mtaani? geology wangapi wameamua kua walimu wa geograph? kila kozi ina mazuri na mapungufu yake... Kwahyo usitishe watu
Mkuu upo deep aisee daa....Kusema neno oryx, total, puma, tbs, ni rahisi sana kasome hiyo petroleum Basi 2023 urudi kutuomba radhi kwenye hili jukwaa, unazani kupata kazi kwenye hizo kampuni ni simple simple tu, petroleum imeanza Udom mwaka 2010 nao UD wanaanza 2013, ni lini umeskia ajira za petroleum zimetangazwa zaidi ya zile 4 za TPDC na 3 za TBS,