usy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 209
- 164
upo nje ya hii field ndo maana anakuja na data za uongo,, petroleum engineering kwa udsm tuu kuna wanafunzi zaid ya watatu ( kati ya 15 darasani ) wanadomeshwa na Swala hiv hii kampuni itawasomesha halafu iwaache?Kusema neno oryx, total, puma, tbs, ni rahisi sana kasome hiyo petroleum Basi 2023 urudi kutuomba radhi kwenye hili jukwaa, unazani kupata kazi kwenye hizo kampuni ni simple simple tu, petroleum imeanza Udom mwaka 2010 nao UD wakaanza 2013, ni lini umeskia ajira za petroleum zimetangazwa zaidi ya zile 4 za TPDC na 3 za TBS,
kama nilivyokuambia mwanzo hiz kozi zipo tatu ( engineering ,chemistry na geology ) kwa upande wa chemistry module zao zinafanana na module za Bsc in chemistry ( tofauti kidgo sana ) hawa wanaweza Fanya kazi popote panapo husisha chemistry related skills, lakin. pia sehemu kama Ewra, Nemc, pura pia wanahitajika.
ni kwel kwa sasa soko la ajira za petroleum hasa engineering ni gumu ila sio kama hiv unavyowadanganya wengine