PFA AWARDS; Riyad Mahrez mchezaji wa kwanza toka Africa kuchukua PFA award

kedrick

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
5,080
Reaction score
4,914
Winga mshambuliaji wa kimataifa wa Algeria anayeichezea klabu ya Leicester City ya Uingereza Riyad Mahrez ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya PFA 2015/2016 (Professional Footballers Association).
Na kuwa mchezaji wa toka afrika kwanza kushinda tuzo iyo ya PFA toka ilipoanzishwa.
Riyad Mahrez ametangazwa kushinda tuzo hiyo mbele ya wachezaji kama
Mesut Ozil wa Arsenal , Jamie Vardy na N’golo Kante wa
Leicester City , Harry Kane wa Spurs , Dimitri Payet wa West Ham United.

Katika tuzo izo kinda wa uingereza Delle Alli wa spurs alishinda tuzo ya mchezaji chipukizi.


Mahrez na tuzo yke PFA award 2016


Delle Alli mchezaji chipukizi #pfawards2016


Vardy na tuzo yake ya kufunga mechi 11 mfulizo msimu kwny epl #recordbreaking


Giggs alishinda tuzo ya merit award #pfawards2016


Kikosi bora cha epl msimu huu 2015-16.


Izzy Christiansen (Man City) mchezaji bora wa mwaka upande wa wanawake #pfaawards


Beth Maed (Sunderland) Mchezaji chipukizi upande wa wanawake #pfaawards
 
Alistahiri, hongera zake. Sijui kwa wachezaji wa kitanzania lini watacheza ligi kama hiyo.
 
Hapo Ndio maajabu ya mpira, huyu kijana kanunuliwa pound Laki 4 tu kwenda hapo Leicester, Lakini thamani yake kwa sasa sijui ikoje, Simba na Yanga wazee wa majungu kuna somo hapo kwenu, mpira pesa mpira biashara kubwa sana
 
Hapo Ndio maajabu ya mpira, huyu kijana kanunuliwa pound Laki 4 tu kwenda hapo Leicester, Lakini thamani yake kwa sasa sijui ikoje, Simba na Yanga wazee wa majungu kuna somo hapo kwenu, mpira pesa mpira biashara kubwa sana
Na barcelona wanamuhitaji mahrez
 
Alistahiri, hongera zake. Sijui kwa wachezaji wa kitanzania lini watacheza ligi kama hiyo.
Uko bado sana inabidi kwanza timu ya taifa ipande hadi level flan katika viwango vya fifa ndipo mchezaji ataweza cheza epl
 
Waarabu noma sana wanalijua soka. huyu jamaa sindo mmoja wao kwenye Ile mechi ya algeria Na Tanzania kufuzu kombe la dunia ambayo walitupiga 7-0 nae alitupia?
 
Waarabu noma sana wanalijua soka. huyu jamaa sindo mmoja wao kwenye Ile mechi ya algeria Na Tanzania kufuzu kombe la dunia ambayo walitupiga 7-0 nae alitupia?
Yap alifunga goli la nne
 
labda akawe miokota mipira
Barca n kweli wanamtaka hata kocha wake ashamuambia akiendelee kufocus na mambo ya kusajiliwa barca atamuweka bench me naona asiende ataenda kukaa benchi km wakina turan au fabregas mambo ya kuungia dk ya 80 n ujinga kwa mchezaji
 
Reactions: PNC
Alistahili! Hongera yake! Algeria kuns mafundi ya uhakika....naimani na sisi ipo siku tutalingana nao kisoka
 
huyo jamaa anaujua mpira aisee mchezaji ni bora kwa wakati huo..kuna yule bolase mkongo anacheza crystal palace na 10 ni kipaji hawezi kuzungunziwa sana kwa kuwa sehemu anayotoka akichukua uchezaji bora mtaanza kumfananisha na sijui nani wapo underground wazuri sana kuriko hao mlio wakariri lazima wapate hata kama wana poor perfomance..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…