Kuna ndugu yangu alisoma undergraduate hapo cbe na anahitaji kujiendeleza ana vigezo ila ,hapa tz kuna chuo kimoja tu ambacho kinatoa hii course ni cbe.ila hawa wamekuwa wakila hela za watu kwa 3yrs now wanaitangaza hii course ila hawa inroll watu kila akiaply pgd hapo husema hatujatenga hela yakuirun hii course au hamjafika idadi tunayotaka .
Sasa wadau wa elimu niambieni wapi anaweza soma najua masters kwa hapa haiwezekani ! Lakini wapi anaweza pata pgd yake?cbe ni wazushi hawa hovyo kabisa.
Nawasilisha