PGM hii comb imekaaje wakuu!

Gibrielly

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
23
Reaction score
1
Wakuu napiga comb hii ila na wasiwasi nayo !
Je nini nifanye kuikabili?
 
pga msuli tu ndo cha kufanya hapo physics ni noma mdogo wang hasa mechanics,math co ngumu xana but you need more exercises....geo the same but physics ndo mwisho hapo haitaj kumeza elewa concept af ktabu kzur kwa physics CHANDY...ndio kimenifanya nichaguliwe ardhi chuo ambacho faculty zake zote za science,chuo ambacho kipo mjini i hope na wewe utakuja pale kaza buti...
 
komaa na physics dogo ndo ngumu hapo ,Maths also need exercises kama mdau alivokwambia ... Geog haina shda
 
Ni Nzuri sana m2 wangu. Mi nimeipigia hapo Musoma Tech afu msuli yatima na sasa niko chuo bora kabisa UDOM kusomea metallurgy and mineral processing eng. Vitabu viko vng sana so u have to take much of ur time 4 reading &discussion. BEST WISHES
 
dogo combination ya ukweli sanaa.. Ukimaliza njoo ardhi upige geomatics(land surveying) ili uwe na uhakika wa kutengeneza hela ya maana..
 
Wakuu napiga comb hii ila na wasiwasi nayo !
Je nini nifanye kuikabili?

Kama umeoiga Chemistry vizuri ni Combination poa sana, kwanii nimeongelea chemistry?
vyuo vingi hapa kwetu vinahitaji principle pass in Physics na Math pia uwe na at least C ya chemistry O-Level,
Other wise ni Combination nzuri sana,
Nimepiga hiyo na sasa napiga Bsc. in Mining Engineering, kwa tatizo lolote usisite kuuliza.
 
hakuna uchawi hapo ni msuli wa nguvu hasa Physics n Math, Geog n kawaida tu!
 
Usimponze kijana.kamua na Geography sana tu.mara nyingi madent PGM huwa wanaichukulia poa Geog.
 
Wakuu napiga comb hii ila na wasiwasi nayo !
Je nini nifanye kuikabili?
Ni Nzuri sana!piga msuli kwa Malengo utafanikiwa!mimi niliifanya pale mkwawa!soma weka Malengo na utafanikiwa kwani hakuna kisichowezekana chini ya jua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…