Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio sababu ya kung'oa MagessaDuh huo mchezo kumbe upo Tz na wanashiriki kimataifa? Mbona sijawahi kumsikia hata mchezaji mmoja maarufu hapa kwetu
Taarifa mpya zinaonyesha kwamba aliyekuwa Rais wa Chama cha Mpira wa Kikapu pedeshee Phares Magessa ameangushwa kwenye uchaguzi wa chama hicho unaoendelea .
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde .....
Kadeghe huyu alikuwa UD, mmiliki wa perfect vision sec na former dc?Mshindi kawa Michael Kadeghe, tunatarajia mengi sana kutoka kwake
YULE YULE MWALIMU NA MWANDISHI WA VITABUKadeghe huyu alikuwa UD, mmiliki wa perfect vision sec na former dc?