Trichuris Trichura
Member
- Sep 26, 2014
- 82
- 22
Weka Kama Unafahamu
Mimi mwenyewe ni mwajiriwa serikalini ni diploma ya Medical Lab basic salary ni 610,000/= Tsh ndio mshahara nilioanza nao take home 497,100/=
sasa sikuelewi hizo data za mishahara ya mahouse girls umeipata wapi
lab mshahara ni 250,000/= kwa diploma na degree haizidi 450,000/=
Mimi mwenyewe ni mwajiriwa serikalini ni diploma ya Medical Lab basic salary ni 610,000/= Tsh ndio mshahara nilioanza nao take home 497,100/=
sasa sikuelewi hizo data za mishahara ya mahouse girls umeipata wapi
Kama internalship mtu analipwa 710,000/= na ni asilimia 80% ya mshahara kamili unadhani 100% itakua laki nne!??
Alaf saivi mfumo umebadilishwa i mean MD, BMLS, BPHRM, zote zitasomwa kwa muda wa miaka 5 na salary scale yao itakua sawa... Na hamna medical personel kuanzia level ya diploma anaechukua chini ya laki tano..labda awe ana makato ya mikopo ya benki mkuu..
Itaanza lini hiyo ya kozi zote kusomewa miaka mitano......daah
Hawa St Francis bhanaaa......aaaah.......how about other Universities...??