Pharmaceutical science na Medical Laboratory sc...

Mimi mwenyewe ni mwajiriwa serikalini ni diploma ya Medical Lab basic salary ni 610,000/= Tsh ndio mshahara nilioanza nao take home 497,100/=

sasa sikuelewi hizo data za mishahara ya mahouse girls umeipata wapi

Mwambie huyo........Thats exactly right.........hahahahaaa
 

Itaanza lini hiyo ya kozi zote kusomewa miaka mitano......daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…