Pharmacist anatafutwa

MagdaleneH

Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
6
Reaction score
13
pharmacist anatafutwa
Requirements: awe na cheti kilichosajiliwa na baraza la wafamasia
Location: Dar es salaam
Payment: 600,000Tsh
Contact: 0782121208
 
Una utani wewe..600k weka cheti chako cha ubatizo
 
pharmacist anatafutwa
Requirements: awe na cheti kilichosajiliwa na baraza la wafamasia
Location: Dar es salaam
Payment: 600,000Tsh
Contact: 0782121208
Bora ya huyu hapa akaweka anatoa Nini. Mwingine anaweka mbwembwe nyingi kwa anachotaka kwa mtu huyo awe anacho Ila yeye anashindwa kusema alicho nacho
 
Huwezi pata pharmacist in charge wa bei hiyo ,hata awe na shida na kazi kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…