astronaut Edward
Member
- Feb 15, 2013
- 9
- 2
mm ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu nilichukua PCB nasubiria majibu, ndoto zangu ni kuwa doctor lakin nimezungumza na baadhi ya watu wanadai udaktari mgumu Afadhal ufamasia, so mnaweza mkanijuza famasia kazi yake ni nini? mm ninachojua ni kuuza dawa tu
mm ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu nilichukua PCB nasubiria majibu, ndoto zangu ni kuwa doctor lakin nimezungumza na baadhi ya watu wanadai udaktari mgumu Afadhal ufamasia, so mnaweza mkanijuza famasia kazi yake ni nini? mm ninachojua ni kuuza dawa tu