Pharmacy wanayotumia bima

Pharmacy wanayotumia bima

princess ariana

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2016
Posts
9,245
Reaction score
18,347
Habari wapendwa

Phamarcy Gani kwa mkazi wa Dsm ambayo hutoa dawa kwa kadi ya bima?....
maana mgonjwa kapewa karatasi la dawa akanunue farmacy wanazotumia bima.

Je ukienda mtu tofauti na mgonjwa mwenyewe, lakini una bima ya mgonjwa na karatasi la dawa watakupatia dawa ?
 
Habari wapendwa

Phamarcy Gani kwa mkazi wa Dsm ambayo hutoa dawa kwa kadi ya bima?....
maana mgonjwa kapewa karatasi la dawa akanunue farmacy wanazotumia bima.

Je ukienda mtu tofauti na mgonjwa mwenyewe, lakini una bima ya mgonjwa na karatasi la dawa watakupatia dawa ?
Unapewa, nenda tu na karatasi aliyopewa na kadi yake ya bima
 
Kwa mimi nnavyojua,nakiete unatoa dawa kwa bima ila ni vizuri uende na mgojwa na karatasi la hospitali
 
Kwa mimi nnavyojua,nakiete unatoa dawa kwa bima ila ni vizuri uende na mgojwa na karatasi la hospitali
Mkuu mgonjwa yuko kitandani ni haiwezekani ...ila makaratasi nnanyo na bima ya mgonjwa
wanaweza kukataa?
 
Mh! Kimara sio mwenyeji, ila hiyo Morogoro road yamejaa mafamasi makubwa na yako barabarani. Unaweza kupanda mwendokasi mpaka Magomeni, zipo famasi nyingi & zinatoa huduma ya BIMA.

Huku mjini Kariakoo, Posta, Mwenge nk yapo mengi pia yanatoa huduma za Bima.

Rahisi kabisa ukienda karibu na hospitali kubwa kubwa utayakuta pia kuanzia M/nyamala all the way to MNH.

Ila nadhani, Ukiulizia huko Kimara hutakosa.
 
Habari wapendwa

Phamarcy Gani kwa mkazi wa Dsm ambayo hutoa dawa kwa kadi ya bima?....
maana mgonjwa kapewa karatasi la dawa akanunue farmacy wanazotumia bima.

Je ukienda mtu tofauti na mgonjwa mwenyewe, lakini una bima ya mgonjwa na karatasi la dawa watakupatia dawa ?
Unapata mkuu na ukifika mlangoni huwa zimeeandikwa aina za bima zinazo tumika sema cjajua uko maeneo gan ili kukuelekeza pharmacy huska.
 
Mh! Kimara sio mwenyeji, ila hiyo Morogoro road yamejaa mafamasi makubwa na yako barabarani. Unaweza kupanda mwendokasi mpaka Magomeni, zipo famasi nyingi & zinatoa huduma ya BIMA.

Huku mjini Kariakoo, Posta, Mwenge nk yapo mengi pia yanatoa huduma za Bima.

Rahisi kabisa ukienda karibu na hospitali kubwa kubwa utayakuta pia kuanzia M/nyamala all the way to MNH.

Ila nadhani, Ukiulizia huko Kimara hutakosa.
Mkuu unazidi kuniweka njia panda

shida yangu nijue ipi inatumia ,maana siwezi kushuka kila kituo kuuliza pharmact zinazotumia bima
 
Unapata mkuu na ukifika mlangoni huwa zimeeandikwa aina za bima zinazo tumika sema cjajua uko maeneo gan ili kukuelekeza pharmacy huska.
Kimara mkuu
mm ntaenda tu maana maswala ya bima sina ujuzi nayo... kwahiyo kama hawaitumii najaribu pengine
 
Back
Top Bottom