princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Habari wapendwa
Phamarcy Gani kwa mkazi wa Dsm ambayo hutoa dawa kwa kadi ya bima?....
maana mgonjwa kapewa karatasi la dawa akanunue farmacy wanazotumia bima.
Je ukienda mtu tofauti na mgonjwa mwenyewe, lakini una bima ya mgonjwa na karatasi la dawa watakupatia dawa ?
Phamarcy Gani kwa mkazi wa Dsm ambayo hutoa dawa kwa kadi ya bima?....
maana mgonjwa kapewa karatasi la dawa akanunue farmacy wanazotumia bima.
Je ukienda mtu tofauti na mgonjwa mwenyewe, lakini una bima ya mgonjwa na karatasi la dawa watakupatia dawa ?