PhD Anazoendelea Kutunukiwa Rais Samia ni Mbinu za Kisiasa?

PhD Anazoendelea Kutunukiwa Rais Samia ni Mbinu za Kisiasa?

Konny Joseph

Senior Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
118
Reaction score
199
Screenshot_20240423-221237_Chrome.jpg
Ikiwa ni mwaka wa tatu(3)tangu SSH achukuwe kijiti cha uraisi kumekuwa na utitiri wa PhD za kutunukiwa mfululizo ambazo kimsingi nashindwa kuelewa muktadha wake ni nini

Yawezekana akawa na sifa ya kupata PhD ya heshima kama walivopata wengine, lakini nikweli kuna haja ya hizo PhD kuwa nyingi hivi!!!!

Juzi tu ikiwa ametunukiwa PhD ya biashara nchini Uturuki leo hii,naambiwa anajiandaa kutunukiwa PhD nyengine nchini Tanzania, kufanya jumla ya PhD alizotunukiwa kufikia nne (4).

Ni kwa mchango upi na jema lipi kubwa la kustahiki idadi kubwa ya PhD kiasi hiko.Ikiwa yeye ni Rais wa Sita,nyuma yake kuna marais watano waliofanya mambo makubwa mno kwa nchi hii sio tu kiuchumi bali pia kimkakati mapaka kuifikisha nchi hapo ambapo yeye kaikuta,mbona hatukuona wakitunukiwa hizo PhD hata moja moja.

Ni wazi tu kusema ,heshima hii anayopewa SSH ni mbinu tu za kisiasa za kumtafutia namna ya kukubalika na wananchi kisiasa kwa uchaguzi wa 2025.

Na ni wazi kwamba hili linafanyika kwa sababuya kukosekana njia nyengine mbadala ya kutengeza jina ili kumtengezea njia boss wa chama kuweza kukubalika kwenye machoya wananchi,na macho ya kimataifa.

Mm maoni yangu,heshima kama hizi zisitumike kisiasa,kwa kuwa thamani yake yote itapotea na kuonekana ni kitu kisichokuwa na mana na thamani yeyote kwa mtu kuwa nayo katika jamii.
 
Kwanza tunamshukuru mama tuna umeme mwingi mpaka mwingine unabaki.

FB_IMG_1713900678402.jpg
 
Kama hizo PhD za heshima zingekuwa ni dili; basi Nyerere angekuwa mbali sana enzi za utawala wake. Maana nasikia alipewa zaidi ya PhD 20!! Na bado hakuwahi kuitwa/kujiita Dokta!
 
Ikiwa ni mwaka wa tatu(3)tangu SSH achukuwe kijiti cha uraisi kumekuwa na utitiri wa PhD za kutunukiwa mfululizo ambazo kimsingi nashindwa kuelewa muktadha wake ni nini

Yawezekana akawa na sifa ya kupata PhD ya heshima kama walivopata wengine, lakini nikweli kuna haja ya hizo PhD kuwa nyingi hivi!!!!

Juzi tu ikiwa ametunukiwa PhD ya biashara nchini Uturuki leo hii,naambiwa anajiandaa kutunukiwa PhD nyengine nchini Tanzania, kufanya jumla ya PhD alizotunukiwa kufikia nne (4).

Ni kwa mchango upi na jema lipi kubwa la kustahiki idadi kubwa ya PhD kiasi hiko.Ikiwa yeye ni Rais wa Sita,nyuma yake kuna marais watano waliofanya mambo makubwa mno kwa nchi hii sio tu kiuchumi bali pia kimkakati mapaka kuifikisha nchi hapo ambapo yeye kaikuta,mbona hatukuona wakitunukiwa hizo PhD hata moja moja.

Ni wazi tu kusema ,heshima hii anayopewa SSH ni mbinu tu za kisiasa za kumtafutia namna ya kukubalika na wananchi kisiasa kwa uchaguzi wa 2025.

Na ni wazi kwamba hili linafanyika kwa sababuya kukosekana njia nyengine mbadala ya kutengeza jina ili kumtengezea njia boss wa chama kuweza kukubalika kwenye machoya wananchi,na macho ya kimataifa.

Mm maoni yangu,heshima kama hizi zisitumike kisiasa,kwa kuwa thamani yake yote itapotea na kuonekana ni kitu kisichokuwa na mana na thamani yeyote kwa mtu kuwa nayo katika jamii.
Jiulize kwa nini Viongozi wa Asia hawatunukiwi? Asia ndio bara lina ukuaji wa kasi wa uchumi. Hizi ni hadaaa tupu, na ni mbinu ya Wazungu .
 
Ikiwa ni mwaka wa tatu(3)tangu SSH achukuwe kijiti cha uraisi kumekuwa na utitiri wa PhD za kutunukiwa mfululizo ambazo kimsingi nashindwa kuelewa muktadha wake ni nini

Yawezekana akawa na sifa ya kupata PhD ya heshima kama walivopata wengine, lakini nikweli kuna haja ya hizo PhD kuwa nyingi hivi!!!!

Juzi tu ikiwa ametunukiwa PhD ya biashara nchini Uturuki leo hii,naambiwa anajiandaa kutunukiwa PhD nyengine nchini Tanzania, kufanya jumla ya PhD alizotunukiwa kufikia nne (4).

Ni kwa mchango upi na jema lipi kubwa la kustahiki idadi kubwa ya PhD kiasi hiko.Ikiwa yeye ni Rais wa Sita,nyuma yake kuna marais watano waliofanya mambo makubwa mno kwa nchi hii sio tu kiuchumi bali pia kimkakati mapaka kuifikisha nchi hapo ambapo yeye kaikuta,mbona hatukuona wakitunukiwa hizo PhD hata moja moja.

Ni wazi tu kusema ,heshima hii anayopewa SSH ni mbinu tu za kisiasa za kumtafutia namna ya kukubalika na wananchi kisiasa kwa uchaguzi wa 2025.

Na ni wazi kwamba hili linafanyika kwa sababuya kukosekana njia nyengine mbadala ya kutengeza jina ili kumtengezea njia boss wa chama kuweza kukubalika kwenye machoya wananchi,na macho ya kimataifa.

Mm maoni yangu,heshima kama hizi zisitumike kisiasa,kwa kuwa thamani yake yote itapotea na kuonekana ni kitu kisichokuwa na mana na thamani yeyote kwa mtu kuwa nayo katika jamii.
Hebu na sisi tuwaalike marais wa ulaya na marekani waje tuwatunukie hizo phd.
 
Mmmh,ni mbinu. Hata hizi mvua za TANESCO kufungua gharika kwa Wana Rufiji ni mbinu. Namvuaza Kijenge, na Tegeta, na Kwa Koa, zote ni mbinu. Tunataka tumehuru imwondoshee haya madaraka tujitawale kivingine.
 
Mm maoni yangu,heshima kama hizi zisitumike kisiasa,kwa kuwa thamani yake yote itapotea na kuonekana ni kitu kisichokuwa na mana na thamani yeyote kwa mtu kuwa nayo katika jamii.
Mkuu, kama Babu Tale aliipata, thamani gani iliyobakia nayo?

Wakashtuka kuwa huo mkakati utadharaulika mapeeeema, wakalisema mjengoni.

Kuna ile tuzo ya Africa ya maraisi ile, ngoja tuone kama wataweza kuinunua...
 
Back
Top Bottom