PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma, yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho.
kanunua kwa dola 200, kweli huyu mtu ni mshamba kama ...................lilivyo 🤣
🤣 🤣
 
Watanzania tumekua watu wa ajabu sana. watu wanapewa degree za heshima wanaona kitu kikubwa sana. Haya mambo huwezi kuyasikia nchi nyingine duniani. Ukitaka degree ya maana si uende ukasome.
 
Mumuache mheshimiwa Dr. King J.K Msukuma!! We umesikia wapi “anataka aonekane “ msomi?!

Kapewa heshima sio dhambi kuipokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]au siooooo!!!!
 
Mbona kama mavazi alijibebea mwenyewe toka Bongo to USA? Au alitunukiwa huku huku Buza??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…