Philip Mpango ameshindwa kuacha legacy ya kuiacha Dodoma ya kijani japo Wizara ya Mazingira ilikuwa chini yake

Philip Mpango ameshindwa kuacha legacy ya kuiacha Dodoma ya kijani japo Wizara ya Mazingira ilikuwa chini yake

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mimi nilikuwa mmoja wa watu niliyekuwa nikimuhamasisha Mzee Philip Mpango afanye kampeni kubwa ya kuifanya Dodoma ya kijani kwa kupanda mamia ya mamilioni ya miti.

Hii ingemuacha na kumbukumbu kubwa sana. Huko duniani fedha za mazingira zimejaa tele. Mzee hata hilo lilimshinda. Mji wa serikali mtumba alitakiwa aivalie njuga component ya mazingira kwa kuufanya uwe wa kijani. Wapi!!!!! UDOM na kwingine kote.

Soma Pia: Dr. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo


Kigoma ndio kabisaaa, mzee akienda kwao hana cha kuonyesha. Hata krismas alikuwa Dodoma tu wakati viongozi wenzake wameenda walikozaliwa.

Hii ni wasted opportunity
 
Huyu Siku Alipoachiwa Nchi Na Mama
Halafu Mama Aliporudi Tanzania Akasema Hadharani Kuwa Endapo KungetokeA Lolote Asingekuwa Na Lakufanya

Akasema Bora Mama Umerudi Uchukue Madaraka Yako
Ukakasi Ulikuwa Mwingi, Mzee Huyu
 
Huyu Siku Alipoachiwa Nchi Na Mama
Halafu Mama Aliporudi Tanzania Akasema Hadharani Kuwa Endapo KungetokeA Lolote Asingekuwa Na Lakufanya

Akasema Bora Mama Umerudi Uchukue Madaraka Yako
Ukakasi Ulikuwa Mwingi, Mzee Huyu
Eehh
 
Mimi nilikuwa mmoja wa watu niliyekuwa nikimuhamasisha Mzee Philip Mpango afanye kampeni kubwa ya kuifanya Dodoma ya kijani kwa kupanda mamia ya mamilioni ya miti.

Hii ingemuacha na kumbukumbu kubwa sana. Huko duniani fedha za mazingira zimejaa tele. Mzee hata hilo lilimshinda. Mji wa serikali mtumba alitakiwa aivalie njuga component ya mazingira kwa kuufanya uwe wa kijani. Wapi!!!!! UDOM na kwingine kote.

Soma Pia: Dr. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo

Kigoma ndio kabisaaa, mzee akienda kwao hana cha kuonyesha. Hata krismas alikuwa Dodoma tu wakati viongozi wenzake wameenda walikozaliwa.

Hii ni wasted opportunity
CCM walitaka Dodoma iwe Capital tangia mwaka 1973(miaka 52 sasa), mpaka leo 2025 wameshindwa kuifanya Dodoma kuwa ya kijani....Dodoma imebaki jangwa kama ambavyo ilikuwa kabla.
 
CCM walitaka Dodoma iwe Capital tangia mwaka 1973(miaka 52 sasa), mpaka leo 2025 wameshindwa kuifanya Dodoma kuwa ya kijani....Dodoma imebaki jangwa kama ambavyo ilikuwa kabla.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom