Rahma Salum
Member
- Sep 7, 2020
- 30
- 59
Mgombea wa Urais wa JMT kupitia chama cha Democratic Party amejisifu kwa kuwa mgombea pekee anayeishi kijijini.
Fumbo anaishi katika Kijiji cha Mwakizega, Kata ya Mwakizega, Tarafa ya Ilagala Wilayani Uvinza mkoani Kigoma.
Moja ya faida za yeye kutoka kijijini ni kuweza kujua shida halisi za Watanzania walio wengi.
DP inaahidi kuwezesha wanawake wa vijijini kufikiwa na huduma bora za afya ya uzazi pamoja na mikopo ya biashara ambayo sasa wanaisikia kwenye redio.
Fumbo anaishi katika Kijiji cha Mwakizega, Kata ya Mwakizega, Tarafa ya Ilagala Wilayani Uvinza mkoani Kigoma.
Moja ya faida za yeye kutoka kijijini ni kuweza kujua shida halisi za Watanzania walio wengi.
DP inaahidi kuwezesha wanawake wa vijijini kufikiwa na huduma bora za afya ya uzazi pamoja na mikopo ya biashara ambayo sasa wanaisikia kwenye redio.