Phillemon Masinga wa Bafanbafana hatunaye tena

Fao La Kujitoa

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
396
Reaction score
966
Ni habari ya kuhuzunisha.

Phillemon Mafinga kafariki akiwa ma miska 49

Wakongwe humu mliokuwa mnafuatilia mpira miaka ya 90 mnaweza kumfaham huyu jamaa.

Alikuwa forward hatari wa timu ya taifa ya Afrika kusini Bafanabafana. Kama mnakumbuka 1996 ile Bafanabana ya mark fish mosheu, doctor khumalo iliyotwaa Afcon Mafinga alikuwepo

R.I.P
 
Thank kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nina uhakika wakati wake huo ' Members ' wengi hapa walikuwa bado katika Ndoo za Mabeseni ( Watoto Wachanga ) huku wakililia tu Uji na Maziwa. R.I.P Masinga.
 
Philemon "chippa "masinga kizazi cha dhahabu hicho pale mbele akibadilishana na mark Williams palikuwa pazuri mengi alifanya kwa kipindi chake mpaka timu kama leeds United ikaomba huduma yake pia alipata kukipiga bari ya italia achilia mbali vilabu vya kwao kama jomo na mamelod sundown pumzika chippa
 
Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita.

R.I.P Phil Masinga, mmoja wa wachezaji bora wa awali kutoka Afrika kukipiga EPL.
 
maskini masinga so sad wakati huo tunatoroka pale mtwara tech tunakwenda kuangalia mpira ukumbi wa bandari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…