FOX21
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 493
- 916
Salamu zangu ziwafikie wote walio jaliwa afya njema na pole kwa ndugu zangu wanao pitia wakati mgumu kiafya hasa wenye homa kali na mafua.
Niende kwenye mada nisiwachoshe Sana ndugu zangu.
Nimeamua rasmi kufanya kazi ya ufundi simu hii ni kutokana na hali ya kiuchumi kuwa tete kwa upande wangu, nimefunguwa ofisi site imechangamka na nimeanza na vitu vichache tu nikiwa na computer pamoja na mashine ya blower.
Asilimia kubwa ufundi simu sijasomea ila najifunza kupitia mitandao ya kijamii, japo nakumbana na changamoto mbalimbali naamini tukiungana ndugu zangu wenye uzoefu ktk nyanja hii nitafika mbali na mm nitafunguwa ajira kwa vijana wenzangu.
Kilichonileta mbele yenu ndugu zangu Nina kumbwa na changamoto ya kupata program au file za kutengeneza cm mfano kuflash, kusetia network, nk.
Kwa yeyote anaeweza kunisaidia au Kama Kuna group linalo husika na maswala haya naomba link either WhatsApp au telegram tuweze kuungana, kushirikiana na kusaidiana Mambo mbalimbali ya kiufundi.
Nashukuru kwa muda wenu🙏🙏🙏🙏.
Niende kwenye mada nisiwachoshe Sana ndugu zangu.
Nimeamua rasmi kufanya kazi ya ufundi simu hii ni kutokana na hali ya kiuchumi kuwa tete kwa upande wangu, nimefunguwa ofisi site imechangamka na nimeanza na vitu vichache tu nikiwa na computer pamoja na mashine ya blower.
Asilimia kubwa ufundi simu sijasomea ila najifunza kupitia mitandao ya kijamii, japo nakumbana na changamoto mbalimbali naamini tukiungana ndugu zangu wenye uzoefu ktk nyanja hii nitafika mbali na mm nitafunguwa ajira kwa vijana wenzangu.
Kilichonileta mbele yenu ndugu zangu Nina kumbwa na changamoto ya kupata program au file za kutengeneza cm mfano kuflash, kusetia network, nk.
Kwa yeyote anaeweza kunisaidia au Kama Kuna group linalo husika na maswala haya naomba link either WhatsApp au telegram tuweze kuungana, kushirikiana na kusaidiana Mambo mbalimbali ya kiufundi.
Nashukuru kwa muda wenu🙏🙏🙏🙏.