Photo: Rome when it became the capital of the Kingdom of Italy (1871)

Photo: Rome when it became the capital of the Kingdom of Italy (1871)

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1639063213639.png

Wakati huu nchi za Ulaya iliyojulikana ki diplomasia na kibiashara ilikua England, France na Austria.
 
... Roma iliyoanza kujengwa 740 KK mwaka 1871 BK (miaka 2611 baadaye) ndio iko hivyo? Kuna mambo mawili, ama hiyo picha ni feki au ni ya viunga vya Roma; sio Roma yenyewe ya wakati huo (1871).
Mimi pia namashaka mkuu.
Roma kitambo sana mleta mada anaweka picha ya 1871 ambayo hata zanzibar ilikuwa poa kuliko hii picha.
 
... Roma iliyoanza kujengwa 740 KK mwaka 1871 BK (miaka 2611 baadaye) ndio iko hivyo? Kuna mambo mawili, ama hiyo picha ni feki au ni ya viunga vya Roma; sio Roma yenyewe ya wakati huo (1871).
Miji ilyojenhwa wakati huo ilikua Tuscany huu ndiyo mji alizaliwa Michelangelo , Botticelli na wengine, kwa kifupi ulikua maarufu kwa art na architecture. Makao makuu ya Tuscany yalikua Florence.
 
Miji ilyojenhwa wakati huo ilikua Tuscany huu ndiyo mji alizaliwa Michelangelo , Botticelli na wengine, kwa kifupi ulikua maarufu kwa art na architecture. Makao makuu ya Tuscany yalikua Florence.
I have been to Florence.
 
Roma ya miaka hiyo ilikuwa kali kuliko hiyo picha,german ya miaka hiyo ilikuwa balaa
Hebu shangaa na wewe Mkuu! Julius Caesar akiitawala Uyahudi kutokea Rumi miaka kadhaa KK; enzi hizo amri ikitoka Rumi kila mtu akajiandikishe (sensa) kwenye asili yake; Yusufu na Maria (Yesu akiwa mimba) nao wakaenda kujiandikisha Bethlehemu huko, hiyo ikiwa 0BK; records zote hizo ziko Roma halafu Roma hiyo hiyo miaka 1871 baadaye ndio hiyo picha?

Tena juzi tu hapa Marekani yote Kaskazini na Kusini ilishakuwa makoloni; juzi tu hapa Vasco da Gama alishaizunguka Afrika kwenda India kuchukua viungo; Juzi hapa Church of England (Anglican) ilishaanzishwa; juzi hapa Lutheran na tens of protestant churches zilishakuwepo; juzi hapa Nabii Ellen na timu yake walishatabiri mwisho wa dunia ungekuwa 1840; nakataa hakuna Roma ya namna hiyo!
 
Hebu shangaa na wewe Mkuu! Julius Caesar akiitawala Uyahudi kutokea Rumi miaka kadhaa KK; enzi hizo amri ikitoka Rumi kila mtu akajiandikishe (sensa) kwenye asili yake; Yusufu na Maria (Yesu akiwa mimba) nao wakaenda kujiandikisha Bethlehemu huko, hiyo ikiwa 0BK; records zote hizo ziko Roma halafu Roma hiyo hiyo miaka 1871 baadaye ndio hiyo picha?
Hapa umetupiga kamba hakuna mwaka 0BK wala karne 0 BK hua tunaanza na 1 ndio maana utaona karne ya 17 ni miaka ya 1800s na sio 1700s
Tena juzi tu hapa Marekani yote Kaskazini na Kusini ilishakuwa makoloni; juzi tu hapa Vasco da Gama alishaizunguka Afrika kwenda India kuchukua viungo; hakuna Roma ya namna hiyo!
Wee jamaa juzi tu hapa miaka 1300 huko
 
Hebu shangaa na wewe Mkuu! Julius Caesar akiitawala Uyahudi kutokea Rumi miaka kadhaa KK; enzi hizo amri ikitoka Rumi kila mtu akajiandikishe (sensa) kwenye asili yake; Yusufu na Maria (Yesu akiwa mimba) nao wakaenda kujiandikisha Bethlehemu huko, hiyo ikiwa 0BK; records zote hizo ziko Roma halafu Roma hiyo hiyo miaka 1871 baadaye ndio hiyo picha?

Tena juzi tu hapa Marekani yote Kaskazini na Kusini ilishakuwa makoloni; juzi tu hapa Vasco da Gama alishaizunguka Afrika kwenda India kuchukua viungo; Juzi hapa Church of England (Anglican) ilishaanzishwa; juzi hapa Lutheran na tens of protestant churches zilishakuwepo; juzi hapa Nabii Ellen na timu yake walishatabiri mwisho wa dunia ungekuwa 1840; nakataa hakuna Roma ya namna hiyo!
Ametupiga
 
Roma ilishamiri.kipindi cha utumwa na baada ya mfumo kubadilika Roma ikawa ya kizamani.Unaweza kulinganisha na Istanbul au Constantinople hadi wakati wa vita vya Kwanza vya dunia ilishaachwa nyuma Sana.London yenyewe ilikuja kujengwa baada ya kuungua .Roma ya kikatoliki chini ya papa ilikuwa nyuma Sana na hadi 1860_1871,Italy kama taifa ilikuwa haijaungana.Kulikuwa na umaskini balaa,vurugu kila wakati na 1848 papa alinduliwa ingawa mapinduzi hayo yalizimwa baadaye.
 
Back
Top Bottom