photocopier used zauzwa?

photocopier used zauzwa?

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2008
Posts
2,502
Reaction score
741
Jamani, samahani, kuna ndugu yangu mmoja kafeli shule, coconut kumkichwa haiendi tumejaribu kumsaidia shule kwake hamuna...mwishoni ameamua kuolewa...ninahitaji kumsaidia...anataka kufungua stationary, nimeshamnunulia printer, scanner, computer etc, kilichobaki ni photocopier,nimeona mpya ni garama sana, na ninatafuta zile kubwa kabisa ambazo zinafika hadi milioni mbili...Mimi nataka used, kwasababu hela inauma si unajua kusaidia ni moyo lakini isitoke hela nzito...kama kuna mtu anajua wapi wanauza photocopier used hapa Dar tafadhali naombeni mniambie....mwenye fununu tafadhali, mahali panapoaminika. asante.
 
Mkuu Jaribu JUST COMPUTERS (022 2400762/3), wapo Millenium Business Park, Morogoro Road op Total Petrol Station, nilinunua kwao Copier moja used 1,800,000 (kitambo kidogo), hata kama utakosa hapo wataweza kukuelekeza wapi utapata-labda kariakoo kwa wasomali. Copier zinatofautiana kulingana na uwezo wa kupiga mzigo, kuna used mpaka za mil3! Hivi biashara za secretarial bado zinalipa?naona maofisi yote sku hizi yana mashine zao!!
 
nenda traffic lights za kuelekea veta / chang'ombe, upande wa pili (kama unaelekea veta) baada ya petrol station ghorofa linalofuata au la pili yake (sofia house kama sikosei), angalia frames za chini; sina uhakika sana kama bado wapo coz nilienda mwaka jana, lakini hao jamaa walikuwa wanaleta mzigo mkubwa wa photocopies used zile kubwa na bei zao zilikuwa nzuri mpaka 900k ulikuwa unaweza pata.

note: sijafurahishwa na jinsi ulivyo m-describe ndugu yako ... inawekekana kabisa matusi yenu kama hayo ndiyo yamemfanya psychologically asiweze kujiamnini na hivyo kushindwa kila kitu sababu ya hofu ya kutojiamini aliyonayo ubongoni (inferiority complex). Hizo kauli ni moja ya mambo mabaya sana katika malezi ambayo waweza mfanyia ndugu / watoto wako. Jirekebishe!!!!
 
Photocop mimi nizo mbili mtuyoyote anae hitaji awasiliane kwenye namba 0655373873 Malik au 0773285132 Khamis
zipo magomeni mapipa op na kwamachen ukitokea jankwani kona ya kwanza kulia kabla ya kituo cha mapipa
 
nenda traffic lights za kuelekea veta / chang'ombe, upande wa pili (kama unaelekea veta) baada ya petrol station ghorofa linalofuata au la pili yake (sofia house kama sikosei), angalia frames za chini; sina uhakika sana kama bado wapo coz nilienda mwaka jana, lakini hao jamaa walikuwa wanaleta mzigo mkubwa wa photocopies used zile kubwa na bei zao zilikuwa nzuri mpaka 900k ulikuwa unaweza pata.

note: sijafurahishwa na jinsi ulivyo m-describe ndugu yako ... inawekekana kabisa matusi yenu kama hayo ndiyo yamemfanya psychologically asiweze kujiamnini na hivyo kushindwa kila kitu sababu ya hofu ya kutojiamini aliyonayo ubongoni (inferiority complex). Hizo kauli ni moja ya mambo mabaya sana katika malezi ambayo waweza mfanyia ndugu / watoto wako. Jirekebishe!!!!

hata mimi sijafurahia, tatizo watz wengi tunaamini success in life through paper qualifications. inaonekana alishindwa hata mitihani kwa sababu ya kutusiwatusiwa mara kwa mara
 
Back
Top Bottom