photocopy machine nzuri

photocopy machine nzuri

Jizo

Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
19
Reaction score
0
naomba kujua photocopy machine( black and white) all in one nzuri ambayo ni heavy duty kwa stationery ya kuanzia m1 to m3 used but in good condition
 
naomba kujua photocopy machine( black and white) all in one nzuri ambayo ni heavy duty kwa stationery ya kuanzia m1 to m3 used but in good condition
Chukua Xerox , nimeziona zikipiga kazi.

Nimekupm namba ya mtum Mpigie huyu jamaa, muulize maswali yako yote kuhusu photocopy.

Baada ya hapo itakusaidia kufanya maamuzi,

NB- jamaa hauzi photocopy, ni mmiliki wa stationery tu. hivyo ongea nae alfu maamuzi mengine utajua mwenyewe sasa.

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Chukua Xerox , nimeziona zikipiga kazi.

Nimekupm namba ya mtum Mpigie huyu jamaa, muulize maswali yako yote kuhusu photocopy.

Baada ya hapo itakusaidia kufanya maamuzi,

NB- jamaa hauzi photocopy, ni mmiliki wa stationery tu. hivyo ongea nae alfu maamuzi mengine utajua mwenyewe sasa.

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
poa

Sent from my Infinix X653C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom