Photos: Ground breaks for first building in Konza city

Miaka takriban 11 imetumika kukamilisha jengo 1. Sasa mpaka hii city ikamilike si itachukua zaidi ya miaka 500!!
 
Miaka takriban 11 imetumika kukamilisha jengo 1. Sasa mpaka hii city ikamilike si itachukua zaidi ya miaka 500!!

Hebu utuonyeshe Bagamoyo Port tucheke na ile Dubai ya Africa huko Kigoma na Bullet trains
 
You just disclosed your year of birth.
Hivi unajua ololaiser high,dawamu school & maasai girls?
False info Jane, I just made up dates and stuff I knew about that school to pull the guy in, it was another era in Jf then. Shule ya upili sikusomea Kajiado lakini shule ya msingi nilikuwa huko home county. I know Maasai Girls and Boys, Oloolaiser, Laiser Hill I had friends there.
 
hehe wazee wa olkejuado wengi saana humu, wazee wa oyengi papa, dorms zao kule elgon , kenya, mara, longonot,aberedares kili 1 and 2 , ruwenzori etc na yule mwalimu wa computer mr Junk!
 
hehe wazee wa olkejuado wengi saana humu, wazee wa oyengi papa, dorms zao kule elgon , kenya, mara, longonot,aberedares kili 1 and 2 , ruwenzori etc na yule mwalimu wa computer mr Junk!
Haha! 😀 Ndio maana uliniuliza siku moja kuhusu shule yenyewe? Ni shule famous sana Kajiado na watz wapo wengi ila sikusoma huko, najua jamaa wengi sana ambao walisoma kwenye shule hiyo. Kuna jamaa pia ambaye alikuwa anamchinjia madam, mwalimu.
 
Ile $170m data center ikishajengwa huko hapo ndo mambo yataanza kuinuka... Unahitaji anchor tenant/business, Yani kampuni moja ijenge hapo na ianze kufanya kazi, wakishaanza kampuni zengine zitafywata nyuma kwa mpigo... Same logic will apply to Lamu port, you will only require one shipping line to dock at Lamu once the rest see it's a viable port they will follow
 
[QDUOTE="Phrasal Verbs, post: 31014966, member: 154612"]
Miaka takriban 11 imetumika kukamilisha jengo 1. Sasa mpaka hii city ikamilike si itachukua zaidi ya miaka 500!!
[/QUOTE]
what's is priority right now is the horizontal infrastructure which is what is ongoing(some already done) such as road networks, water and sewer lines, thwake dam, electricity transmission lines, fencing etc.Ones all that is done you'll see buildings(vertical infrastructure) mushrooming all over.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…