Hivi hawa watu hawana kazi ya kufanya?
kwani hiyo wanayofanya hapo sio kazi? wanapata kiki then watasaini dili kibao na life linasonga kama kawaida.
Hivi hawa watu hawana kazi ya kufanya?
Nani?? Kanye na Kim?? Kama ni Kanye na Kim kwani hujui kazi zao.
That is probably one of their jobsMuda wote mbele ya camera, ndo nauliza kama hawajui kazi zao.
That is probably one of their jobs
Hivi hawa watu hawana kazi ya kufanya?
kazi yao kubwa ni kuuza sura kwenye TV,inawalipa balaa