Picha 35623, kwenye simu. Zote unafanyia nini?

No Escape2

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
228
Reaction score
323
Umefika wakati sasa ndugu zangu tuanze kufahamu matumizi sahihi ya simu, Iweje leo mtu unakuwa na picha nyingi kwenye simu kiasi hiki? Hiyo sasa simu au Camera cha kusikitisha sasa hizo picha zote hakuna jipya. Tubadilike jamani Dunia inatuacha hii, simu km hiyo ikiibiwa sijui itakuwaje.
 
Unatufokea sasa"""

Yaan Suala Binafsi la BABA KEAGAN.....Unalileta Kisiasa[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…