Samahani, ina maana hapo hana utumbo?
Asee utumbo una ujua wewe mkuu?! yani katolewa utumbo?! [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mungu alishindwa kumridhisha unafikiri binadamu utamridhisha ?
By the utumbo wamefyeka sasa vyakula vinafyonzwa wapi???
Au wamebeba mwingine wakabakiza kidogo
Aiiiiiii. aibu nimeona mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo akila inakuaje yani!?... Au hali kabisa?
Ni hawa hawa akina sie, the babazI wonder what she will do next to attract men.
Nimejikuta najiuliza, wanaume hawa hawa wa sayari hii ama labda kuna special edition huko aliko?
amekuwa kama katuni wa kuchoraMuigizaji kutoka Ghana Princess Shygle, ameistua dunia kwa kufanyiwa upasuaji na kuondolewa mbavu zake tano pamoja na utumbo ili kupata umbo namba 8 kwa ajili ya kuvutia wanaume. View attachment 1012112View attachment 1012113View attachment 1012114View attachment 1012115View attachment 1012116View attachment 1012118
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Africa mwanamke amepewa attention kubwa kwenye ngono kuliko kwenye harakati zake nyengine. Ndio maana wanahangaika namna hiyoNdio maana mimi naamini kitu anachotegemea mwanamke(hasa wa Kiafrika) katika kupata mafanikio ni uchi wake tu hata awe na elimu ya kiwango gani japo wenyewe ukisema hivyo wanakuja juu sana.