Boy mzuri wewe bado toto siyo? Kila uhusiano unapitia challenges lakini kukabili hizo challenges ndiyo ukomavu huo.Hizo ni picha tu Unajua yaliyomo ndan
Demu wako mkuu wewe ndiyo uliemtoa seal....kama ni hapana basi lolote linawezekana!50 Cent kasha piga sana huo mzingo
Technically yeah...Demu wako mkuu wewe ndiyo uliemtoa seal....kama ni hapana basi lolote linawezekana!
Kudanganywa nini? Mtu mzima Jay amefanikiwa kutunza uhusiano wake. They been together for eleven years before marriage and now nine years in marriage. Bad mind dont like see dem couple rocking togetherAisee kumbe bado kuna watu wanadanganywa na picha. Showoff
Kudanganywa nini? Mtu mzima Jay amefanikiwa kutunza uhusiano wake. They been together for eleven years before marriage and now nine years in marriage. Bad mind dont like see dem couple rocking together
Pia watu wanaishi miaka 56 wakiwa pamoja bila kuachana. Mkuu mbona unaleta hoja ya kitoto.11 kitu gan watu wanaishi miaka 20 na divorce juu after long pretending to be in deep love.
hatari sanaBoy mzuri wewe bado toto siyo? Kila uhusiano unapitia challenges lakini kukabili hizo challenges ndiyo ukomavu huo.
Jay na Beyonce wamekuwa on the sportlight kwa muda mrefu. Wamefanikiwa kuvuka changamoto nyingi pamoja. Unajua kabla ya marriage walikuwa pamoja for almost 11 years?
Pia watu wanaishi miaka 56 wakiwa pamoja bila kuachana. Mkuu mbona unaleta hoja ya kitoto.
Hapa tunaangalia present time. Na hiyo ndiyo muhimu zaidi.
Wewe umejuaje wataachana? Au unapiga ramli?
Uliposema watu wanaweza kukaa kwenye relation for 20 years wakaachana inaweza ikawa kweli lakini hiyo ni fallacy statement. Ndiyo maana nikakujibu inawezekana pia watu wakaa kwenye relation for 56 years wasiachane. Unaekewa lakini nachozungumza?Kua mwelewa kama jina lako
Uliposema watu wanaweza kukaa kwenye relation for 20 years wakaachana inaweza ikawa kweli lakini hiyo ni fallacy statement. Ndiyo maana nikakujibu inawezekana pia watu wakaa kwenye relation for 56 years wasiachane. Unaekewa lakini nachozungumza?
Ukibisha haya endelea kupiga ramli mkuu
Bless you. Keep on loving them. And if have spare time say prayers for their love to last longer. Now, can you tell what made you write all that bullshit you wrote before? Im guessing now you are in your right mind buddyIts just a fact,i do love them.
Bless you. Keep on loving them. And if have spare time say prayers for their love to last longer. Now, can you tell what made you write all that bullshit you wrote before? Im guessing now you are in your right mind buddy