Ngoja na mimi nijipe kazi.
AY ndio msanii wa kwanza Mtanzania kukanyaga white house.
Sisi watoto wa upanga hatunaga kelele haya ni mambo ya kawaida sana kwetu.
ANGEKUWA diamond pultnumz MPAKA BIBI YANGU WA MIAKA 89 ANGEJUA.
MANINAA!
Ngoja na mimi nijipe kazi.
AY ndio msanii wa kwanza Mtanzania kukanyaga white house.
Sisi watoto wa upanga hatunaga kelele haya ni mambo ya kawaida sana kwetu.
ANGEKUWA diamond pultnumz MPAKA BIBI YANGU WA MIAKA 89 ANGEJUA.
MANINAA!
Halafu kuna mwehu humu eti wauza K Lulu na Wolper anadai wana status zao!!
siku hizi ikulu ya marekani ni kama ikulu ya bongo tu kila mtu anaweza kwenda.AY ameungana wasanii wengine wakubwa barani Afrika jijini Washington DC, kwa mwaliko kutoka ikulu ya Marekani kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Marekani na Afrika utakaofanyika wiki hii.
AY akiwa White House
Wasanii hao ni sehemu ya wale walioshiriki kwenye mradi wa One Campaign. Wasanii wengine waliopo kwenye msafara huo ni pamoja na Femi Kuti, Owamumi na DBanj wa Nigeria, wa Afrika Kusini na Fally Ipupa wa DRC, Victoria Kimani wa Kenya, watakaoungana na mchezaji Manchester City, Yaya Toure mjini Washington D.C. kuanzia August 4-7.
AY akiwa pamoja na Femi Kuti, Victoria Kimani na wengine
Rais Barack Obama atawakaribisha viongozi kutoka barani Afrika kwenye mji huo mkuu wa Marekani katika mkutano wa siku tatu. Huo ni mkutano mkubwa zaidi kuwahi kufanyika kati ya Rais wa Marekani na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali za Afrika.
Kwenye ziara hiyo, wasanii hao watakutana na viongozi wa juu wa serikali Marekani, wajumbe wa taasisi ya Young African Leaders Initiative (YALI) na wajumbe wa Congress. Pia watatumbuiza siku ya August 4 ukiwemo wimbo wao wa Cocoa Na Chocolate.
ANGEKUWA YULE.........TUSINGELALA MPAKA LEO!!:cool2:
Cheka unenepe mkuu, by the way tshirt za mapokezi siku anarudi mimi ndio supplier tunachapisha kwa order maalum nione inbox to press ur order.Hahahahaha jf Kuna vituko yani huu uzi unani vunja mbavu sana daa!
na picha yake imewekwa ikulu ya marekaniyaaani angetaka mpaka taifa limsindikize airport
mi nasmaga acha kupiga mayowe acheni wayaone!!
wale wapambe wangesema kapiga picha na OBAMA
Nyoooooo!! kwa status gani?......siku hizi ikulu ya marekani ni kama ikulu ya bongo tu kila mtu anaweza kwenda.
Soon tutasikia Lulu, Masogange na Diamond nao wamealikwa
Mkuu hao wamechagua kuvaa hivyo na wanajihisi huru zaidi kuvaa hivyo na kuweka nywele zao hivyo!
Sasa hawa wengine na hayo manywele ndio ushamba gani utafikiri yale makatuni ya Advertising mbona waafrica hatuma identity sasa huyo mwanaume ameenda kusuka marasta ya kidada maana yake nini, kaniboa sana.
Sasa hawa wengine na hayo manywele ndio ushamba gani utafikiri yale makatuni ya Advertising mbona waafrica hatuma identity sasa huyo mwanaume ameenda kusuka marasta ya kidada maana yake nini, kaniboa sana.
Wala sisi Marekan tumeshazoea tangu tuko nursery study tour zetu ni desney land.
Mbona umepanic?Lol!....na mlivokuwa high school study tour Hollywood!,shopping ya mikanda na viatu Italy......mfyuuuuu!
Hili ni jembe siyo mbana puwa huyu.Ay jitahidi ufike aftermath kwa andre young