vipi bibie.....nilikutongoza ukanitolea nje....vipi tena....
Siunaona sasa...na mimi ungekuja kuniweka hivi watu wanithaminishe!
Bado tu hujapata wakukubembeleza wangu?mi kama fisi nasubiri nyuma yako :alien: :alien:
Bado tu hujapata wakukubembeleza wangu?
Yo Yo kawa banned
bado huu mwaka nimeanza vibaya nina wasiwasi naweza hamia vatcan ha ha ha ..
Hahahahaha!Unahamia moja kwa moja au mwaka huu tu?
Sasa ukiwa lockup utajuaje mambo yamekua mazuri??We mtoto wa kiume pigana na vibuti!kwa kauzoefu kangu, ukipigwa kibuti kimoja basi tegemea vingine kibao mfululizo, nahisi michelle kanitosa kiprof.. zaidi nahamia mwaka huu tu.. mambo yakiwa mazuri narudi:rain:
Sasa ukiwa lockup utajuaje mambo yamekua mazuri??We mtoto wa kiume pigana na vibuti!
Ngoja nipate transparent alcohol labda kichwa itatulia kdg. Maneno yako tu yananirudishia mori wa kukomaa.. :hat: