Jirani leo nataka niende white sands kule, kuna mtu kanipa mtonyo kuna mastaa wanafanya yao kule, so baadae ntatia timu na camera yangu mbona watafurah??
Kashaachwa mda, alimpangia kule tegeta alikoama, sasa ivi sijui anatoka na babu gani, ridh kashatemana nae mda tu
Ina maana unamjua bilionea wa lulu? Ni nani huyo
Duh, kwa hiyo jamaa akaamua kumpangia karibu na familia yake ili afaidi vizur
Aaahaha aaha, naona tegeta kwa ridhi kahama, sijui nani kampangishia uko mbezi beach
Dinazarde siku izi na mimi nimekuwa kuwadi aka dalali, anayetaka madanga/mabuzi ya kuwachuna arusha na jijini dar ani PM, kuunganishwa na pedeshee ni elfu 20 tu , jiunge sasa uuage umaskini
Hhhhhhhaaaaa hakuna siku umenichekesha kama leooo sasa boresha tangazo basiiii halaf hilo tangazo unalitupia MMU,na JUKWAA LA WAKUBWA mbona wateja utawapataa binamu ila umenichekesha ahsantee sanaaa
Nipishe mie, natumia fursa, ukipata ujumbe huu, mtaarifu na mwenzio, sema hapana kwa umaskini, mabuzi wapo wa kumwaga , wahi nafasi ni chache
Umetafuta mabuzi mda mrefu bila mafanikio? Umechezewa sana na kuambulia bia mbili? Umechokonelewa sana tigo bila kupewa hata vits?, bado hujachelewa unayo nafasi, amka na usimame tena, warumi foundation ipo kwa ajili yako.
Unatamani kuendesha audi q7 kama mama ubaya? Je umechoka kuishi tandale na unataka kupangiwa nyumba nzuri mbezi beach kama lulu?, je unatamani kutumia galaxy note 3 kama lucy na huna uwezo wa kununua?, warumi yupo kwa ajili yako, wahi nafasi ni chache
Bina ungeweka namba ya simu sasa watakupatajeee na kiwango hujawekaa wengine hawajui pm
Wasisahau na ukimwi upo wa kumwaga auu je kwa wale wanaotaka mademu yaan wanaume wanaotaka mademu kwiiiiiiii kwiiiiiiiiii
Wani PM tu binamu, nafasi zipo chache, watakaowahi watapata madanga wa maana nchini dubai, south africa na canada
Nafasi zipo za kumwaga, waambie wawahi