Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Nimekumissssssoooo
Mwenzio nilikua na bani niliwamicje na warumi yani
Ashaanza kupata na wateja mwenzio
Hivi siku hiz wanaume ni wagumu kuwanunulia nyumba mademu ni kuwapangishia tu,
Sio Lulu tu pia kuna rafiki yangu kapangishiwa bonge la nyumba
Umnunulie akukimbie! Unampangishia aendelee kuwa tegemezi
Changamkieni fursa jamani loh, watangazieni na wengine
Dah! Bado siamini kuwa wewe ni dume aisee!
Changamkieni fursa jamani loh, watangazieni na wengine
Si ulisema hukuangalia nirvana ya lulu?angalia sasa hivi wamekirudia
Mwenzio yupo gerezani siku mingii
Hee???kamtukana nani tena jamani?Mimi jana nimempotezea Salamander alitaka kunisababishia ban...
Sijui na kija nani kwenye uzi wa bikra wa kisukuma
Duh!ndo basi tena jukwaa litakua barafu sasa