Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mambo yanaendelea kwa kasi ya hatari sana , hivi ndivyo ilivyokuwa Kahama Mjini
Mjumbe hauawi.
Mjumbe hauawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio digital watapiga kampeni kwa computer? 😀CDM nimewakubali, hii style ya kimbiza mwizi kimya kimya imenivutia sana sana. Mungu wa mbinguni awabariki sana, awatie nguvu kwa yote mnayoyapitia ninyi wanachama pamoja na viongozi wenu.
hawakawiii kuja hapo na kusomba hiyo Computer, printer, simu, na vifaa vyote kama ushahidi wa UGAIDI wa kesi inayoendelea !!Mambo yanaendelea kwa kasi ya hatari sana , hivi ndivyo ilivyokuwa Kahama Mjini
Mjumbe hauawi.
View attachment 2023897View attachment 2023898View attachment 2023899
View attachment 2023901
MUNGU yupi wa kubariki chadema unayemsema!!! MUNGI huyu huyu anaye abudiwa na wanadamu au? MUNGU hawezi kusikiliza kikundi cha wahuniMungu ibariki Chadema
Waache mazuzu waendelee kujipongeza kuwa wameimaliza cdmMungu ibariki Chadema
Wahuni ni nyinyi wana uvccm na walezi wa kina Hamza gaidiMUNGU yupi wa kubariki chadema unayemsema!!! MUNGI huyu huyu anaye abudiwa na wanadamu au? MUNGU hawezi kusikiliza kikundi cha wahuni
Pasipo kulazimishana kwa virungu na sheria za kazi wanao ipenda cdm ni zaidi ya 70% ya watanzaniaChadema kimejaa kwenye Mioyo ya Watanzania.
Utafiti mpya unaofanyika kwenye Chadema Digital unaonyesha kwamba 87.6% ya Watanzania ni wanachademaPasipo kulazimishana kwa virungu na sheria za kazi wanao ipenda cdm ni zaidi ya 70% ya watanzania
Nakubaliana na weweUtafiti mpya unaofanyika kwenye Chadema Digital unaonyesha kwamba 87.6% ya Watanzania ni wanachadema
Wamechanganyikiwa hawajui washambulie nani , waendelee na Mbowe au wazuie Chadema Digital ?Nakubaliana na wewe
Nimeona USHETU mambo ni moto...Mungu ibariki Chadema
Wamechanganyikiwa hawajui washambulie nani , waendelee na Mbowe au wazuie Chadema Digital ?
Kwa sasa hawana la kufanya zaidi ya haya wanayo yatekeleza na kuwaumbua .Wamechanganyikiwa hawajui washambulie nani , waendelee na Mbowe au wazuie Chadema Digital ?
Wacha masika yaanze ili tuone nyumba yetu inavuja sehemu ganiNimeona USHETU mambo ni moto...
Pole lakini kiakili wafanana kabisa na 'soldier' huyu hapaHio digital watapiga kampeni kwa computer? 😀
Digital inasaidia kwenye big data analytics kupitia uaandaji sera au bajeti kulingana na pattern za wanachama, demography, na projections kadhaa za kitakwimu zinazoweza fanyika kama taarifa zipo kidijitali.Hio digital watapiga kampeni kwa computer? 😀