Picha chini ni mchoro wa ghorofa 7 unaozuia watu kujitupa ghorofani kwa kuwa na vikorido vilivyo kama karata zinazochangwa

Picha chini ni mchoro wa ghorofa 7 unaozuia watu kujitupa ghorofani kwa kuwa na vikorido vilivyo kama karata zinazochangwa

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Ninalenga kuonyesha kuwa kutoka ghorofa moja mpaka jingine kunakuwa na kakibaraza karefu kidogo ili MTU anapoanguka asiende chini moja kwa moja aweze kukwama japo naweza kuwa nimevichora virefu sana.

Mfano maghorofa huwa na vibaraza sasa kibaraza cha ghorofa inayofuata chini kiwe kirefu kuliko cha juu yake japo hapa huwa bati maalumu au pembe NNE ya nyavunyavu kama chekecheo LA mahindi au unga.
IMG_20200716_145818.jpg
 
Nimekukubali kamanda ila kifo cha kujitakia hakijawahi kuzuiwa hata siku moja. MTU akiamua kufa atakufa tu hakuna namna. Utamzuia hapo atajinyonga ama atakunywa sumu
Hii in nzuri kama kutazuka moto,MTU atajitupa kutoka flow moja moja mpaka chini
 
Unahisi ni nani anataka kujirusha ghorofani humu? Na kwanini unadhani ghorofa lako ndilo mhusika amelenga kujirusha?
Hapa nimelenga pia ajali za moto ikiwa utazuka katikati ya ghorofa itamwezesha MTU kujitupa had I ghorofa ambayo haina moto kumbuka nyavunyavu hizi zenye umbo LA chekecheo haziumiza.
 
Hapa nimelenga pia ajali za moto ikiwa utazuka katikati ya ghorofa itamwezesha MTU kujitupa had I ghorofa ambayo haina moto kumbuka nyavunyavu hizi zenye umbo LA chekecheo haziumizi
Sijaelewa lengo la uzi wako ni kulalamika ama kufokea watu unaohisi watajitupa kwenye jengo lako!
 
Hapa nimelenga pia ajali za moto ikiwa utazuka katikati ya ghorofa itamwezesha MTU kujitupa had I ghorofa ambayo haina moto kumbuka nyavunyavu hizi zenye umbo LA chekecheo haziumizi
Hii ni nzuri bob kuna clip nliiona wiki ilopita mama alimuokoa mwanae kwa kumrusha kupitia dirishani na yeye kushindwa kujiokoa kwa sababu ya umbali na kuzidiwa na moto so kama hilo jengo lingekuwa lipo kama wazo lako hili nadhani asingeshindwa kujiokoa
 
Floor ya chini Hadi uingie ndan si itakuwa Kama uko underground! Kutakuwa na giza sana
 
Sijaelewa lengo la uzi wako ni kulalamika ama kufokea watu unaohisi watajitupa kwenye jengo lako!
😅 😅 😅 😅
Hivii ni Mimi nina mood poa ama ni wewe una vituko, haiwezekani thread ya pili hii nakutana tu na vituko vyako.!

Eti 'unatufokea'..!
 
Back
Top Bottom