kuna kitu kimoja nimejifunza toka kwa watanzania wenzangu. Siku zote mtu akifanikiwa uwa watu wanakaa wakisubiri aanguke yani maombi yao na furaha yao ni pale atakapo anguka sijui nini uwa kinawauma.
Dogo hana shobo kivile na anajituma jukwaani so mimi naona poa tu anavyo shine anawapa challenge wasanii wengine wanaopga shoo kwa kushka sehemu nyeti na kutembea tembea toka kona moja ya stage mpaka nyinge yani show ya juzi leo na mwaka jana hazitofautiani.
I am sure ukiudhuria show ya diamond utakuwa unajiuliza leo atakuja vipi kwasababu anabadirika badirika.
La msingi na yeye awekeze asibweteke sana maana mziki hautabiliki.
Mtu mwingine ambaye nahisi atakuja fanya poa ni timbulo maana anaona naye kaamua kuwa na team yake ya madancer pia.
Helicopter ilitumika kama business technic ya kujaza watu wengi maana wabongo wengi wanapenda kushangaa helicopter si waona hata wanasiasa wanatumia hiyo technic kwenye kampeni zao.