PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!


Wanasubiri afe ndio wam appreciate.
 
..mungu ampe busara ya matumizi ya kipato chake, kwa mana usuper star "expayaga"
 
Haya ndo mambo yanayochelewesha ukombozi wa hii nchi, watu wanajali starehe zaidi kuliko kushiriki maswala yanalenga kubadili maisha yao na mstabali wa hii nchi! CCM wanafurahia sana watu wabobee kwenye haya maswala na wasiwaulize maswali magumu!
 
Haya ndo mambo yanayochelewesha ukombozi wa hii nchi, watu wanajali starehe zaidi kuliko kushiriki maswala yanalenga kubadili maisha yao na mstabali wa hii nchi! CCM wanafurahia sana watu wabobee kwenye haya maswala na wasiwaulize maswali magumu!

Kiendo cha kuchangia kwenye hii thread kinamaanisha wewe ni mtembeleaji mzuri wa hili jukwaa na hili jukwaa sana sana utakuta watu wa entertainment ndo wanajadiliwa huku sasa kama hupendi starehe sidhan kama wewe ungelikuwa unatembelea hili jukwaa
 
Diamond anagusa level za watanzania wote.

Oyeee Diamond tunasubiri maana nipo nawe milele. Hao wengine hawanivutii sijui kwa nini. Ila wewe una ka X-factor fulani.

Keep it up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…