Picha: Diamond atembelea moja ya nyumba anazojenga

kazi ya freemason iyo...
hongera illuminat!!!

kei kei kei kei kei kei!!
 
Sasa kila mtu hapa aje aweke yake eti!??
 
Kuna midude itaponda wakati hiyo hiyo bado inaishi kwa wazazi wao ambao bado wamepanga hapa mjini
go diamond,go,mimi na fans wako tunakuombea mafanikio zaidi kimziki na kimaisha

Kwa nini unaanza na negative feelings kuwa watu wataponda juu ya msanii huyu?
Kila siku nakuambia kuwa sioni sababu ya wewe kumpambanisha msanii huyu na hao unaowaita haters wake.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kwa nini unaanza na negative feelings kuwa watu wataponda juu ya msanii huyu?
Kila siku nakuambia kuwa sioni sababu ya wewe kumpambanisha msanii huyu na hao unaowaita haters wake.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
sio kosa lake anafuata maelekezo kutoka kwa bosi wake njaa mbaya sana.
 
Kuna midude itaponda wakati hiyo hiyo bado inaishi kwa wazazi wao ambao bado wamepanga hapa mjini
go diamond,go,mimi na fans wako tunakuombea mafanikio zaidi kimziki na kimaisha

Hehe mpe pole zake mbona kicheche tu hicho.
 
acheni dharau, nyie mnazo????????
pamoja na kuwa mtu wa matanuzi mengi lakini
dogo kajitahidi sana


kwa umri wake anao uwezo wa kujenga nyumba nyingine nyingi tu
mwambieni Mamndenyi amekupa hongera sana.
 
Last edited by a moderator:
watanzania ndo maana tu maskini badala mtu uwaze kafikaje huko ili na mm nifanye ninachofanya na mm nifike mnaanza kuponda kusema maneno ya ajabu sasa kama vyetu 2naponda hvi nan atasifia ingekua ni chamelion kafanya sifa kibao ndo maana ha2na maendeleo kukwamishana 2 wote walioponda ni wachawi wa maendeleo
 
kwanza kama ni milioni 260 hapo kala changa la macho.......hiyo hela inajenga hekalu la maana syo nyumba kama hii.....
halafu watu wengine bwana mbwembwe nyingi mno,,,,,kuita nyumba kama hii kiota cha ndege ni ulimbukeni na misifa isiyo na mpango..... Wanaishi binadamu wenziyo..
 

umeambiwa ni moja ya nyumba anazojenga,who told u ndio hii??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…