hongera msanii...ila mwandishi wa post hii una matatizo...naona utakuwa na stress za maisha...attitudes!au ndio unatafta umaarufu humu Jf?Kuna midude itaponda wakati hiyo hiyo bado inaishi kwa wazazi wao ambao bado wamepanga hapa mjinigo diamond,go,mimi na fans wako tunakuombea mafanikio zaidi kimziki na kimaisha
watanzania ndo maana tu maskini badala mtu uwaze kafikaje huko ili na mm nifanye ninachofanya na mm nifike mnaanza kuponda kusema maneno ya ajabu sasa kama vyetu 2naponda hvi nan atasifia ingekua ni chamelion kafanya sifa kibao ndo maana ha2na maendeleo kukwamishana 2 wote walioponda ni wachawi wa maendeleo