Picha: Diamond Platnumz awashukuru wadau waliofanikisha ushindi wa tuzo ya MTV MAMA

K 4 LIFE mtume wao huyo hakosei utapigwa oohooo wazee wa suti na raba
 
Last edited by a moderator:
Hv king kimba ile nyumba yake ya kifahari kule kunduchi imekamilika ama
 
Wanapigaje jamani

USA unaenda website ya afrimma dot com unachagua nominees unaanza kupiga kura, hapo yupo kwenye vipengele saba.

ukipiga kura ya kipengele basi bonyeza return to poll kuendelea kupigia kura kipengele hicho, ukimaliza unaenda kwenye kingine.

Ya Uganda wameweka kwenye page yao ya Instagram ukikuta picha ya Diamond kuna mselezo una komenti kwa kuandika hivi #ueadiamond


Nigeria unaenda

neaawards dot com

utaona ya kwanza
[h=3]African Artist of the Year (Non Nigerian)[/h] bonyeza kwa Diamond, kitiki cha kijani kikitokea basi umeshapiga kura, wameandika inaruhusiwa mara moja kwa masaaa 24 kila kura kwenye kipengele.

Natumaini umenipata hapo
 
mi nampenda sana Diamond n mtu wa kurudisha fadhila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…