Picha: Dkt. Ghalib Bilal akitunuku Shahada NMIST, awataka wahitimu kuwa chachu ya mabadiliko

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya 4 Dkt. Gharib Mohamed Bilal katika maafali ya 7 ya kutunuku shahada za Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela amewataka wahitimu hao kuwa chachu ya mabadiliko katika kukuza uchumi wa nchi.




Chanzo: DarMpya Twitter
 
Mungu amtunze Ghalib

Msimu mbaya huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…