Elections 2010 PICHA: Dr. Slaa aiteka Shinyanga

We are watching History in the making. Waandishi kama rafiki yangu Muhanika, bila shaka wataweka vizuri hizi picha na rekodi ya haya mambo ya kihistoria.


Watanzania wanabadilisha chama tawala kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 50.


The hands that picked cotton will now pick a President.
 
Safi sana Dr Slaa!songa mbele,ushindi unakuja!
 
safi sana!......
hatuhitaji KOFIA SISI....
hatuhitaji KHANGA....
hatuhitaji mlungula.....
hatuhitaji tiisheeti.....

TUNAMUHITAJI RAIS,
tunamuhitaji dk slaa
 
hakuna nguo za chama wala nini. jana nilikuwa napitia famialia yangu na ndugu zangu kuwakumbusha kumpigia slaa na nimeahidi kutotoa msaada kwa yule atakaekwenda kinyume. Je wewe umeishafanya sehemu yako?

aaah, usifanye hivyo waelimishe tu wataelewa, lakini usitumie msaada kama pre condition ya kumpigia kura Slaa. Hiyo sio demokrasia. Sipendi kuona Dr Slaa anapigiwa kura za huruma na za woga kama hizo kuwa wasipofanya hivyo utakavyo wewe basi unakata misaada. Hiyo sio fresh kaka, naamini umepitiwa tu hapa lol
 

TRA kuweni wazalendo sote tunalilia mabadiliko Hilo Lori la shena za kura za KI-KWETE LIPIGWE PICHA HAPO LILIPOPARK JAPO TUONA PALTE NUMBER YAKE.please Colleagues from TRA we trust you just do the needful for Tanzanians.
 
hakuna nguo za chama wala nini. jana nilikuwa napitia famialia yangu na ndugu zangu kuwakumbusha kumpigia slaa na nimeahidi kutotoa msaada kwa yule atakaekwenda kinyume. Je wewe umeishafanya sehemu yako?



nimekuwa nikipita maeneo ya sokoni - kwenye wafanyabiashara wa hali ya chini na vijana - nikiwashauri wachague chama sahihi - CHADEMA - to my surprise - TAYARI WAMEAMUA KUIPA CHADEMA KURA ZAO - nimefarijika - HATA JAMAA ZANGU/NDUGU - THEY ARE ALL SAILING IN CHADEMA BOAT - tupige kampeni kwa kila njia
 
Hao wapo bent kinoma maana walishatanguliza chopers!
 
tatizo wapiga kura wa vijijini, wanamjua huyu jamaa/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…