Picha: Elizabeth Michael “Lulu” akila bata Zanzibar

"hivi karibuni baada ya kutoka jela"

Dahh!!!
 
Mbona pakawaida tu ... Kama vile magomeni kwa mapipa
 
Azam marine V.I.P 50,000 ,Royal 60,000 kahawa na pancake 1[emoji28]
Ana enjoy life binamu , yupo hotel nyota tano , kaenda na azam marine first class , bata analila binam[emoji16]
 
Huyo itakua anamla Bata kiroho
Make Bata mwenyewe haonekani
 
Ukikaa kwenye swimming pool wanasema anakula Bata he akikaa kwenye mto au kidImbwi ana kula Nini dagaa au nguruka[emoji1787]
 
unacheza na jela, kule kunaitwa kitaalam; "Correction centre"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…