Hata huyo bata mzinga haonekani, halafu hapo unajuaje kama ni zanzibar na sio masaki?
Ana enjoy life binamu , yupo hotel nyota tano , kaenda na azam marine first class , bata analila binam[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia hii imejaa kila aina ya watu aseee.Lulu anakula hela za Kanumba alizomwibia wakati anamuua!
Huku kwema kabisaaaah, daah unakuwa bizze had Co vzur aan.Thank you dear, you're missed more, habari ya huko ulipo ?
Mi ya hivo ndo nayataka.Ana mapaja makubwaa duh, hafanyi mazoezi huyo.
Kila ikiibuliwa skendo kumuhusu yeye au majay inakua tiket ya lulu kula bata ili wananzengo waone mambo ni shwari kabisa
Kwani kuna khabari gani shoga? [emoji39]
Naomba kujua unajinsia gani kwanza!Unayafanyia nini sasa hayo mafuta?
Sasa unapondeaje hayo mapaja mkuu! au we ni model?!Mwanaume, na ya kwako, je?