Picha: Eng Hersi akiwa A. Kusini leo

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
"....yupo hapa na walikuwa na Pitso lakini baadae kuna mkataba ataenda kujaza wa kumnunua mchezaji hatari!"

Duru.
 
sometimes naye ana ishu zake sio muda wote kujihusisha na timu
 
Yaani wameshindwa kulipa faini ya $66000 ndio mnawaza kumsajili Pitso
Ajashindwa bali ni kiburi tu.

Udhamini wa HAIER - Bilioni 2 Tsh
CAF CONF CUP - Bilion 2 Tsh (runner up)

Jumla BILIONI 4. Kumbuka $66,000 ni sawa na Milioni 130 Tsh.

[emoji23]
 
Huyu msomali anawapatia kweli gongowazi
Yaani we acha tu! Anatupatia vilivyo.

Hatukuwahi kubeba treble back 2 back, jamaa kafanikisha.

Hakukuwahi kuwapo naa club East Afrika kushiriki CAFCC finals - jamaa kawezesha jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…