Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Hii issue itapelekea apate u DC jinsi inavomboost unakumbuka wazir mdogo wa mambo ya kucheza cheza
 
Guys, don't west your energy kwenye hii kitu! Jamaa wanatengeneza tangazo la utii wa sheria bila shurti nothing else! hutaki acha
 
Wakuu mpaka sasa clouds bado hamja waelewa.Msiamini lolote kutoka kwao,hilo ni tangazo tu kama ilivyokuwa ile ya watangazaji kupigana studio. Kibonde hapo yupo kazini hakuna ukweli wowote ni maigizo tu

Kweli yupo kazini kwake kituo cha polisi.
 

Attachments

  • 1407585973152.jpg
    44.4 KB · Views: 1,115
Wanatengeneza tangazo la "utii wa sheria za barabarani bila shurti" wakuu, nothing else!
 
Kweli yupo kazini kwake kituo cha polisi.

Mkuu mimi mpaka nione hilo gari la mzungu lililo gongwa ila hizi picha wala si za kuamini.Mtakuja kuniambia baada ya siku chache pale Ruge atakapo tangaza kuwa wapo kwenye kampeni

Kuna kipindi Kibonde alikuwa balozi wa hizo kampeni za usalama barabarani
 
Wangempiga risasi kwa bahati mbaya tu, tushamchoka huyu mCHOKOzi!!
 
Aibu gani kwa kibonde MTU alikuwa kazini?? Watanzania ni watu waajabu.Hapoo juu nimemaaniaha possible yule pembeni ni Joti.
 
Kie kie kie kie, anamwambia jamaa "nikitoka utaipata"
 
Inawezekana gari lake lilikuwa na shehena ya viungo vya binadamu !! Polisi wampekue vizuri maana hawezi kukimbia kizembe namna ile??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…