Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Mi namshauri apunguze misifa yake na hivyo viroba anywe kiasi ili aongeze siku za kuishi
 
Nakusupport kwa hizi.
1. Akiwa sero.
2. Wakati akikamatwa.
 

Attachments

  • 1407647284249.jpg
    61.6 KB · Views: 270
  • 1407647318842.jpg
    54.8 KB · Views: 251
Shame on u Kibonde sikutegemea unaweza kufanya vitu kama ulivyofanya leo pale ubungo asbh uuuuh ivi nn maana ya public figure ya Tz hii mnatuonyesha nn duh Polen clouds maana jamaa kachemsha.




UPDATES:



in

Kwi kwi kwi ni yule jamaa yangu wa Jahazi na asaalam aleikum zake wamemkwida!
 
Ingekuwa nchi na makampuni ya wenzetu mikataba yake ya matangazo ingekuwa imesitishwa mpaka dk hii...has a hili la utii bila shuruti
 
Kibonde lazima wamwambie asafishe asafishe eneo la obay na kupiga deki selo.
 
Magazeti yameripoti na Gadner Habash pia kukamatwa .....
 
Shame on u Kibonde sikutegemea unaweza kufanya vitu kama ulivyofanya leo pale ubungo asbh uuuuh ivi nn maana ya public figure ya Tz hii mnatuonyesha nn duh Polen clouds maana jamaa kachemsha.




UPDATES:






Hili sio tukio la kweli ilikuwa ni kuhamasisha amani nchini kati ya raia na vyombo vya dola....kwiikwiikwiikwiikwiiiiii!
 
Vyombo Polisi na Mahakama havizoeleki,mnakumbuka issue ya Rage kuipuuza amri ya mahakama!pamoja na jeuri yake mzee wa bastora alinyea ndoo Ukonga miaka kadhaa itakuwa kuyu kalulu wa O level!
 
Umejifunza nini na unatoa ushauri gani kwake kwa tukio la kufanya ajali na kukaidi amri ya polisi? Na Kibonde huyu ndiye yupo mstari wa mbele kwenye matangazo ya utii wa sheria bila shurti katika usalama barabarani!
Tume waangalifu kwenye majina na koo zetu, Kibonde? Duu namfananisha na faiza fox, tabia zao ni za kifoxfox Tu!
 
...athari za zile dawa zinaanza kuonekana...mara nyingi ntumiaji huwa aggressive hasa mwishoni

Anatumia dawairi gani hizo zinazompa ujasiri wa kusababisha ajali mfululizo na kukimbia na kuwa mbishi??? Fluvoxamine au levetiracetam!
 
Umejifunza nini na unatoa ushauri gani kwake kwa tukio la kufanya ajali na kukaidi amri ya polisi? Na Kibonde huyu ndiye yupo mstari wa mbele kwenye matangazo ya utii wa sheria bila shurti katika usalama barabarani!
Alikuwa location wakuu! Subirini kile kipindi cha Usalama barabarani mtamuona,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…