F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Nov 10, 2023 #21 Jamaa leo wameandamana kudai Bandari yao 😀 😀
Okol36 JF-Expert Member Joined Jan 10, 2015 Posts 1,544 Reaction score 738 Nov 10, 2023 #22 Sasa huyo aliebeba mabuti na mabegi ni yanini??
Teknocrat JF-Expert Member Joined Oct 20, 2018 Posts 4,967 Reaction score 11,056 Nov 10, 2023 #23 Okol36 said: Sasa huyo aliebeba mabuti na mabegi ni yanini?? Click to expand... Huyu aliwapania sana waandamanaji...
Okol36 said: Sasa huyo aliebeba mabuti na mabegi ni yanini?? Click to expand... Huyu aliwapania sana waandamanaji...
NAHAL JF-Expert Member Joined Feb 13, 2023 Posts 1,670 Reaction score 3,281 Nov 11, 2023 #24 Watoto waliotoka familia duni na maskini na kupata elimu ya Hovyo wakiwa katika sare zao,,Wakitetea maslahi Ya familia za matajiri na viongozi wa siasa,,na kuwanyanyasa maskini wenzao na familia zao!!
Watoto waliotoka familia duni na maskini na kupata elimu ya Hovyo wakiwa katika sare zao,,Wakitetea maslahi Ya familia za matajiri na viongozi wa siasa,,na kuwanyanyasa maskini wenzao na familia zao!!