PICHA Githeri man: Jamaa aliebeba kande kwenye uchaguzi wa Kenya

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Naona kageuka gumzo kwenye vyombo vya habari huko Kenya na watu maarufu kv Omondi,Jeff Koinange nk wamemtumia kama fursa, sasa huyo Githeri man msimuache fukara mpeni fursa hata ya Tv commercial adverts maana amewaburudisheni 'z....PICHA halisi ni hiyo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura akiwa kabeba makande yake kwenye mfuko.
Huyu jamaa ametumika pia kama catalyst kwenye mvutano wa matokeo hapo who knows huenda ndo mjumbe wa amani
Aged 41


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…