Babu wa loliondo.Essence ya kubeba makande ni nini?
Kula pale njaa itakapouma, maana kukaa kwenye foleni ya upigaji kura ilikuwa ni zoezi la siku nzima plus kusubiri matokeo.Essence ya kubeba makande ni nini?
Amehojiwa na citizen tv video yake imo youtubeEssence ya kubeba makande ni nini?
Alifanya hivyo kukabiliana na njaa maana alidamka kupiga kura pasipo kupata Kifungua Kinywa ikabidi akibebe
Ohoooo kumbeAlifanya hivyo kukabiliana na njaa maana alidamka kupiga kura pasipo kupata Kifungua Kinywa ikabidi akibebe
Sent using Jamii Forums mobile app