Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
team ni ngumu kuzikemea
maana ndo zinamueka mjini
bila wale umaarufu kushnei
eeeh haya basi avumilie tu kutukanwa
sure anavyotukanwa zari
rommy hadi kuitwa shoga kisa anamsaport zari
jamani nilijskia vibaya sana baas tu
teampwanya road si wajinga tu...yani hadi leo wanaona boss wao kaibiwa dai, wanaona zari kaingilia penzi, wanaona kasalitiwa pwumbavuz zao hawajui kama BMW ndo imemuharibia yote hayo
Kutokea wapi labda?
anatia huruma na huenda ni kweli aloyasema make chibu kamtunzia siri hajasema hilo akaamua amseme penny tu kuwa alizitoa 2
aaa wapi sikuzaa na mme wa mtu na sijawahi kudate na mme wa mtu
na ht wala sisapoti kuzaa na mme wa mtu
sure anavyotukanwa zari
rommy hadi kuitwa shoga kisa anamsaport zari
jamani nilijskia vibaya sana baas tu
Sasa hujui kwamba hapa kinachojadiliwa ni kuzaa, sasa uliposema kwamba kuzaa ni habari ya mjini si ungemalizia tu kwa kusema ndani ya ndoa, au wazae tu hata kama na mumeo?
Nilisikitika mimi yani.
Wao tusi lao kubwa ndo hilo.
Msijisahaulishe huyu alipataga mimba ya dimondo ikatoka sijui ilitolewa yy mwenyewe alisema alidundwa south na huyo dimondo.
yani eti mume wa mtu anaibiwaje sasa
jus mchepuko tu wakaanza kumtukana kajala
haya wakaleta bring back our wema
akarudishwa wanatukana
mbona hawana jema hawa jamani.,,!kosa la mondi kua na zari au maana wao km wamemzaa vile wanamchagulia wanawake
hv hawa watu wehuuu
umeona eeeha ha ha dada ake wa kambo na wema mange nae alilaumu zari kua na dai eti soon baada ya kuachana wakati wema hajapona maumivu ha ha ha mupya wallah kumbe watu wakiachana inapaswa tungoje wapone maumivu ndo tuwe nao sa si tutangoja miaka mia nane
km hajazaa na mme wa mtu
hivi we umeoa,unafata nini nje?
km si ufedhuli au kutojielewa...
umeoa tulia na mkeo
aachia bachelors wale gud tiii
umeona eee
hhaahaaa mi wonder kwa kweli..!!!
yani wema apigwe p huko then dai weupe wake atoe na sabuni
kua ye kuweza eeehhhh...!!!
km walijua projekt sasa risechi juu
mi si tean daimond wala wema ila kwa hili
namsapoti mchizi mondi kinomaaaa
wao walijua atampata mwajuma ndala ndefu wa mwananyamala,wamtukane vizri..
wapiiiiiiiiii.......
aliyepewa kapewa toto zaryyyyyy
Kaimba wimbo gn???? huyu
Salute kwa kuonyesha malovee kwa my number one wako... ila kuzaa nje ni mkosi na inashusha heshima ya familia, chunguza utagundua asilimia nyingi ya wanawake waliozaa nje maisha yao hayaeweki tofauti na walioolewa