Mimi sio mwanamke lakini nikiangalia tumbo la zari tu najua kabisa sio mimba.
Mastaa wanamnanga uko insta, wanatunisha matumbo yao na wenyewe wanasema wameshiba ugali na maji kwa wingi, hahahah hahahahh
si kweli ile ni mimba sema wenzetu wenye hela ule mstari wa katikati mweusi wanafuta kwa vipodozi
wabongo tuacheni majungu
Khaaa! Jamani warumi umeniuzia kesi hivihivi? Umesahau ile siku nilikua pamoja na wewe kupinga huu ushenzi wa kuzaa kabla ya ndoa? geniveros na wenzie akina Evelyn Salt ndio waliokua wanatetea.
Mimi namuogopa Mungu sana, siwezi na wala sitokaa nizae nje ya ndoa na Mungu aniepushie....
Ooh pole, ila hamisa bado mdogo sana tena mrembo, angetafuta maisha kwanza, maana maisha yake hayaeleweki, yani apo kuolewa labda na huyo baba watoto wake, mmh namuonea huruma, kuzaa kabla ya kutengeneza maisha vzur au kuolewa ni janga
hahahaaa,watz kwa wivu bwana? Mimi naamini ana mimba bwana kule sio kudanganya!
Ila binamu mbona nasikia ndomo bado anachepuka japo yupo na murembo zari?
Usijali binamu. ..
Hivi atakua hajazaa na yule DJ kweli? Si unakumbuka ile siku aliyompamba?
Mbwa ndo habar ya mjini, ata kim kadarshian anafuga
Ahahaa ahahah kwa hyo unataka kusema hamisa hana pesa ndo maana hajatoa mistari meusi?
Ukiona kitu watu zaidi ya kumi wanakitilia mashaka, basi jua kuna kitu, watu wengi sana wana mashaka na mimba ya zari
Mmmh!! Mwenzangu huyo cheusi dawa nae ata atumuelewi, maana hyo mimba toka mwaka jana naona ipo tu sijui kabeba jiwe na yeye khaaa ,maana hyo mimba nahis mwaka imepita sasa
Atakuwa ndio huyo, namuonea huruma kweli, mtoto mdogo badala atafute pesa anakimbilia kuzaa maisha yake yenyewe anayajua,kesho ataanza kuandika insta baba watoto wake hatumi pesa ya matumizi,yani na huyo mtoto sijui atamleaje mama modo tena ,naona mtoto atatobolewa masikio akitimiza siku kumi na kuvalishwa vimini,wambea tupo apa tutayaona
Unaona sasa si dharau hizi jamani yaani humjui kabisaa akisikia atajinyonga wallah.
Mmmh!! Mwenzangu huyo cheusi dawa nae ata atumuelewi, maana hyo mimba toka mwaka jana naona ipo tu sijui kabeba jiwe na yeye khaaa ,maana hyo mimba nahis mwaka imepita sasa
Khaaa! Jamani warumi umeniuzia kesi hivihivi? Umesahau ile siku nilikua pamoja na wewe kupinga huu ushenzi wa kuzaa kabla ya ndoa? geniveros na wenzie akina Evelyn Salt ndio waliokua wanatetea.
Mimi namuogopa Mungu sana, siwezi na wala sitokaa nizae nje ya ndoa na Mungu aniepushie....
Kwa iyo mnashauri wawe wananyonga au??