Ww nae mbishi tu mbna man u pia waligomea barclays kipindi ichoteam viewer ni sponsor wa team siyo wa league ndiyo maana GSM logo yao ni nyekundu lakini utopoloni wameifanya nyeusi hatuongei watajijua wenyewe ingawa ddep in their hearts inajulikana nyekundu blue na white ndiyo rangi za logo za corporates
Wao Wana cheza Makundi wewe Una cheza redeWenzenu wanachukua makombe nyie ni habari zenu ni za makundi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Waweke tu rangi yoyote wanayotaka
As long as inawaletea mafanikio
Na yanga yako mnachukua niniWenzenu wanachukua makombe nyie ni habari zenu ni za makundi.
CAF wawaanzishie kombe lenu la makundi.Wao Wana cheza Makundi wewe Una cheza rede
....Mnoooo, wanaumizwa na kuteseka sanaaaaaMashabiki wa simba wanaongoza kwa kuumizwa na mambo ya Yanga
Wale ni wadhamini binafsi,......Ni kitu cha kawaida tu duniani kote. Rangi asili ya timu inamaana kubwa. Angalia TeamViewer wale rangi yao ni bluu lakini kwa Manchester United wameweka red.
Yanga ndiyo was Kwanza kufika group stagesLaiti kama mngekuwa mnajuaga nini maana ya kufika group stages na robo fainali huko CAF champions league mngejua nini maana ya kuheshimu rangi ya sponsors lakini kwa kuwa level zenu ni za watoto wadooogo kausheni tu
Sana Jana Simba kashinda wanasema timu dhaifu iliyofungwaMashabiki wa simba wanaongoza kwa kuumizwa na mambo ya Yanga
Mashabiki wa simba wanaongoza kwa kuumizwa na mambo ya Yanga
Kumbuka huwa hamna cha kujigamba bila yanga hivyo nao wanawajibu na kupiga pale kwenye mshonoNa mashabiki wa Uto wanateseka na mwiko huko nyuma...
Sana Jana Simba kashinda wanasema timu dhaifu iliyofungwa
Na wewe unateseka ukiwa wapi au unacheza kimataifa songeaMnawalazimisha ila asilimia kubwa wanafatilia mkiwa na gemu nao tu.
Kumbuka huwa hamna cha kujigamba bila yanga hivyo nao wanawajibu na kupiga pale kwenye mshono
Mkuu, bila shaka hapa "umetia chumvi" kidogo ili kuhanikiza mjadala...Ww nae mbishi tu mbna man u pia waligomea barclays kipindi icho