Picha: Haya ndio maua ya yanayozungumzwa mitandaoni!,apewe maua yake!?? Kama ni haya, acha tudharaulike

Hao kwa kutengeneza mianya ya ulaji hawajambo, utakuta walikaa kikao cha kuja na ubunifu huo wakaweka mkakati na budget.

Wata-estimate cost na kuweka top up kibao kila kinachofanywa na serikali ukiona gharama ni 2B we jua kbs real cost inacheza around 900M-1.2B, Kuna namna wanaestimate gharama plus contingency reserve kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…