Picha: Hemed Abdulla arejea Dar kutoka Zanzibar

Picha: Hemed Abdulla arejea Dar kutoka Zanzibar

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akiwa ameambatana na Mwenza wake Mama Sharifa Omar Khalfan wamerejea Zanzibar wakitokea Jijini Dar es Salaam kwa shughuli za kikazi tarehe 30 Juni, 2024.

IMG-20240701-WA0003.jpg
 
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akiwa ameambatana na Mwenza wake Mama Sharifa Omar Khalfan wamerejea Zanzibar wakitokea Jijini Dar es Salaam kwa shughuli za kikazi tarehe 30 Juni, 2024.

View attachment 3030172
Mheshimiwa ulikuwa unawahi wapi? Mbona kichwa cha habari na maelezo yako ya ndani vinapishana! Kichwa cha habari kinasema arejea Dar kutoka Zanzibar!

Halafu maelezo ya ndani unasema tena yeye na mwenza wake wamerejea Zanzibar wakitokea Dar es Salaam!! Tushike lipi sasa!!
 
Back
Top Bottom